cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Mshahara gani wewee? Au kamega zile za rambirambi za wana Bukoba?
Unatia aibu 🤦🏽♀️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara gani wewee? Au kamega zile za rambirambi za wana Bukoba?
chezea moshi wewe?wakuu habarini za usiku huu,
Nimeandika andiko hili kutokana na kumuona Mh. Rais tangu ameanza kufanya ziara Mikoa ya Kusini hajabadili koti na kila tukio ninalomuona kwa siku za hivi karibuni koti ni lilelile.
Kiitifaki limekaaje hili wakuu?
Hajachezea hela ndio maana kanunua Koti moja tu basiHamna bana kodi zetu lazima zisichezeweziende zifanye kazi sehemu husika kwa maslahi mapana ya nchi
Yeye ndie anatia aibu. Rais una mshahara mkubwa kila kitu unafanyiwa unajishusha nakujiabisha kwa kuiba rambirambi tena mchana kweupe na matusi juu.Unatia aibu 🤦🏽♀️
Hivi ni kweli haki ya mtu haipoteiEndelea kudai haki yako. Haki ya mtu haipotei.
Ni hilohilo tu bana. Abadilishe koti bana taasisi ya urais ni taswira ya nchi
Mimi ni mtaalam wa makotiUmejuaje ni hilohilo?
Mengine yamefuliwa na hizi mvua bado hayajakauka.Mimi ni mtaalam wa makoti
Aisee mkuu umenikumbusha mbali sana...Nilikua namuita Kingo by James Gayo. Gazeti la Nipashe kama sikoseiKwa wanaomjuwa Kingo (cartoon) alikuwa nazo pea saba kabatini, kila siku alikuwa anaonekana amevaa vivyo hivyo.
Angalau wewe umetoa sababu...Mimi ni mtaalam wa makoti
Hili koti linampendeza sana Bw Rais,nashauri wamuongezee mengine ya rangi hii hii ili Chadema waendelee kujadili koti wakati CCM inapanga wagombea.Hapa ni sumbawangaView attachment 1245763
Kumbe yupo sahihi,hapendi kuchezea kodi kwa kununua makoti mengi mkuu.Hamna bana kodi zetu lazima zisichezeweziende zifanye kazi sehemu husika kwa maslahi mapana ya nchi
Sawa MkuuHili koti linampendeza sana Bw Rais,nashauri wamuongezee mengine ya rangi hii hii ili Chadema waendelee kujadili koti wakati CCM inapanga wagombea.