Nauliza Kwanini Simba huwinda twiga, tembo na kiboko lakini sio faru?

Nauliza Kwanini Simba huwinda twiga, tembo na kiboko lakini sio faru?

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Wakuu,
Tufahamu kwamba Simba ndie mfalme wa nyika, ana uwezo wa kuwinda chochote kile na akafanikiwa hata Kama kinamzidi umbo na Nguvu.

Nnachojiuliza,
Kwanini huwa hawawindi FARU na kuwatumia Kama chakula?

Na ukiangalia faru Ni mdogo kwa umbo ukilinganisha na kina Tembo, twiga na kiboko.

download-34.jpeg
 
Wakuu,
Tufahamu kwamba Simba ndie mfalme wa nyika, ana uwezo wa kuwinda chochote kile na akafanikiwa hata Kama kinamzidi umbo na Nguvu.

Nnachojiuliza,
Kwanini huwa hawawindi FARU na kuwatumia Kama chakula?

Na ukiangalia faru Ni mdogo kwa umbo ukilinganisha na kina Tembo,twiga na kiboko
Ni kweli Simba hana Historia ya kumuweka Faru chini hata mtoto wa Faru tu ni kipengele

1) Kwanza kwa ile shingo simba atamkamataje?
2) Pili NGUVU, Faru ana nguvu sanaa...niliona clip ya Nyati wakubwa wanne walipambana na Faru kisha Faru akawafukuza wote
3) Tatu Historia inabaki kuwa sio mara moja Faru amekuwa akiua Simba, sasa hii inabaki kwa Simba hawa ni hatari zaidi yetu
 
Firstly, rhinos are formidable and powerful animals, possessing tough, thick skin and large, intimidating horns. Lions, known for their collaborative hunting strategy and agility, generally target prey that is more manageable, such as ungulates like wildebeests, zebras, or smaller mammals...copied
 
Wakuu,
Tufahamu kwamba Simba ndie mfalme wa nyika, ana uwezo wa kuwinda chochote kile na akafanikiwa hata Kama kinamzidi umbo na Nguvu.

Nnachojiuliza,
Kwanini huwa hawawindi FARU na kuwatumia Kama chakula?

Na ukiangalia faru Ni mdogo kwa umbo ukilinganisha na kina Tembo, twiga na kiboko.

Mkuu usitudanganye bwana.
We umeona wapi Simba akamuwinda tembo mkubwa!?
Never,simba wakiwa 5-7 huwinda kitoto cha tembo,kiboko.
Tena wakiwa 5-7.
Ila simba HATA WAWE 1000 HAWAWEZI KUMUWINDA TEMBO MKUBWA ABAADAN WALA KIBOKO MKUBWA ABADAAN.
 
Faru unamchukuliaje mkuu,ni mchele mchele kama hao wengine au?
Mkuu simba hata wawe 1000 hawawezi kumuwinda tembo mkubwa.
Huyo Faru mwenyewe anakimbizwa na tembo.
Mie nimeshuhudia Morogoro tembo akimkimbiza faru mdimamdima.
Wanaowindwa ni vitoto vidoncho vya tembo tena huchukua nguvu ya simba 5-7 kwa katoto cha tembo.
 
Back
Top Bottom