stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Wakuu,
Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu?
Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu?
Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina huduma ya kufuata mtejaVideo call ef 8
Sina huduma ya picha😂😂😂😂
Itakuwa imeoza au imeharibikaWakuu,
Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu?
Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
Lafilana kama bata 😁Bao 1 elfu 50
Video call elfu 10 ina dk 2
Nipo kinondon studio hahah nouma
Mpaka Vpn sometimesWakuu,
Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu?
Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
ManinaBao 1 elfu 50
Video call elfu 10 ina dk 2
Nipo kinondon studio hahah nouma
Mtu akikutumia ujumbe kwa official telegram, inaweza kukufikia wewe mwenye telegram X?Download telegram x ni mbadala wa telegram iko faster na iko connected na telegram official
Mbona inaload sana kama haifanyi kazi hivi , nimeclicl haijanipeleka TelegramKama hautaki kutumia VPN basi tumia link hii, Hakikisha umepakua app ya telegram kutoka playstore kisha Bofya link na itakupeleka moja kwa moja telegram, Itakusubirisha kidogo ikiwa ina connect na utaendelea na utaratibu wa kawaida. Wanaita Proxy wenyewe. Enjoy
Wakuu,
Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu?
Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.