Nauliza mbona Telegram haifanyi kazi kwangu

Nauliza mbona Telegram haifanyi kazi kwangu

Ilifungiwa huko nchini daslam, ukitaka mambo yetu yaleeee....😋 tumia VPN itafungua za kila aila mkuu...😊
 
Kama hautaki kutumia VPN basi tumia link hii, Hakikisha umepakua app ya telegram kutoka playstore kisha Bofya link na itakupeleka moja kwa moja telegram, Itakusubirisha kidogo ikiwa ina connect na utaendelea na utaratibu wa kawaida. Wanaita Proxy wenyewe. Enjoy

 
Kama hautaki kutumia VPN basi tumia link hii, Hakikisha umepakua app ya telegram kutoka playstore kisha Bofya link na itakupeleka moja kwa moja telegram, Itakusubirisha kidogo ikiwa ina connect na utaendelea na utaratibu wa kawaida. Wanaita Proxy wenyewe. Enjoy

Mbona inaload sana kama haifanyi kazi hivi , nimeclicl haijanipeleka Telegram
 
Back
Top Bottom