Miaka yote hii umekuwa mtu mzima; na sijui kama hata shule ulikwenda, bado hata akili ya kutafuta taarifa mwenyewe huna?Nimezaliwa miaka 1970,nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni,Sukali,Mafuta na hata nguo.Watu walivaa magunia,kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri ,je Uongozi ulimshinda?
Kama ulizaliwa mwaka 1970 basi by 1985 Nyerere akitoka madarakani ulikuwa na miaka 15.Nimezaliwa miaka 1970,nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni,Sukali,Mafuta na hata nguo.Watu walivaa magunia,kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri ,je Uongozi ulimshinda?
Kweli hata ccm haisababishi umasikini wa watanzania ila INAONGOZA vizuri sana na magaidi yanashugulikiwaTangu miaka ya 1970 hadi leo maisha yamekubonda unaanza kusingizia marehemu?Huu ni uvivu kamili.Hata dhambi zako utawasingizia wana TANU?Tuache uvivu wa kufanya kazi na akili mdebwedo.😂😂😂
Miaka 10 tu mtu anajitambua au wewe ulijitambua ukiwa na miaka 30 mzeeKama ulizaliwa mwaka 1970 basi by 1985 Nyerere akitoka madarakani ulikuwa na miaka 15.
Hukuwa na akili ya kujua mambo. Endelea kujuzwa na waliokuwepo ili uelimike.
Hakuna Tanzania yenye utulivu huu tulionao bila mchango mkubwa wa baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere
Nenda polepole ndugu.Bado tupo mwaka 1970 kwanza tunajadili jinsi jamaa alivyokosa mafuta kwenye foleni.Kweli hata ccm haisababidhi umasikini wa watanzania ila INAONGOZA vizuri sana na magaidi yanashugulikiwa
Ndio nimesema hata ccm haisababishi umasikini wa watanzania na INAONGOZA vizuri maana Kuna magaidi yanatekwa na kuuwawa CCM wapo vizuri sanaaaNenda polepole ndugu.Bado tupo mwaka 1970 kwanza.
Ungekuwa unajitambua usingeuliza swali la kindezi hivyo. Basi labda ulizaliwa na USONJIMiaka 10 tu mtu anajitambua au wewe ulijitambua ukiwa na miaka 30 mzee
Inchi❌Nimezaliwa miaka 1970,nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni,Sukali,Mafuta na hata nguo.Watu walivaa magunia,kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri ,je Uongozi ulimshinda?
Wewe inaonesha ulijitambua ukiwa na miaka 30 ulikua kubwa jinga🤣🤣🤣🤣Ungekuwa unajitambua usingeuliza swali la kindezi hivyo. Basi labda ulizaliwa na USONJI
Nashindwa kukupa 'like' wewe, hasa kutokana na sifa unazo wapa CCM hii ya leo.Kama ulizaliwa mwaka 1970 basi by 1985 Nyerere akitoka madarakani ulikuwa na miaka 15.
Hukuwa na akili ya kujua mambo. Endelea kujuzwa na waliokuwepo ili uelimike.
Hakuna Tanzania yenye utulivu huu tulionao bila mchango mkubwa wa baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere