Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Siyo kweli mkuu. Kuhusu UJAMAA alikiri kuwa alikosea lakini kujitegemea alikataa kwa argument kwamba ni nani hataki KUJITEGEMEA hapa duniani.Hayati Mwalimu ni Siasa za Ujamaa na Kujitegemea ndio zilimshinda na alishindwa kukiri kuwa zimemshinda na KAMA KAWAIDA YA WATANZANIA WANAKUSHAURI MAMBO UNAYOPENDA KUYASIKIA HUKU WANALUOGOPA KINAFIKI.
Rejea miaka ya 1990s akiwa mwenyekiti wa South SOUTH Commission