Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Nimeshakuambia huyo ni baba Y Yako wewe sio wa taifa maana umesema mama Yako anamtambuaMarekani pia ina Founding Fathers,wewe kama huna uelewa ni bora ukakaa kimya acha kujichora.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshakuambia huyo ni baba Y Yako wewe sio wa taifa maana umesema mama Yako anamtambuaMarekani pia ina Founding Fathers,wewe kama huna uelewa ni bora ukakaa kimya acha kujichora.
Founding Fathers huko US wamechongewa hadi kwenye Miamba ya Granite.Nimeshakuambia huyo ni baba Y Yako wewe sio wa taifa maana umesema mama Yako anamtambua
Shukrani Gani wewe Nyerere ni mjinga mmoja tu hajafanya lolote kwenye hii nchi
Shukrani Gani wewe Nyerere ni mjinga mmoja tu hajafanya lolote kwenye hii nchi
Nyerere Nchi haikumshinda kivile alijitahidi sana isipokuwa nchi iliyumba sana alivyoamua kuingiza nchi vitani kumpiga na kumfurusha madarakani Iddi Amin ile vita iligharimu sana nchi hadi ikafilisika .Nimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukali, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Kwenye Moto wa miungu ya wazungu na waarabu.?Mimi sijamfagilia mtu yeyote duniani wewe unamfagilia bwana wako Nyerere ambaye anachomwa Kuni huko Kwa ujinga aliyofanya tanzania
Ilimshinda kweli. Sera ya ujamaa ilifeli pakibwa sana nchi ikawa hoi. Ilibidi ampishe mzee ruksa ili wabadili gia angani. Aliona akibadili yeye atakua anaikana imani yakeNimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukali, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Kwa hiyo tusema maduka ya Kaya yalianzishwa baada ya vita vya kagera?Nyerere Nchi haikumshinda kivile alijitahidi sana isipokuwa nchi iliyumba sana alivyoamua kuingiza nchi vitani kumpiga na kumfurusha madarakani Iddi Amin ile vita iligharimu sana nchi hadi ikafilisika .
Pia sera za ubepari zilimbana sana kwa kuwa alikuwa na mtzamo wa sera kinzani za ujamaa .
Hayo maduka kusema kweli nilivyosikia kwani sikuwepo yalisaidia sana wananchi kupata bidhaa kwa bei nafuu isiyokuwa ya kibiashara (kijamaa) kabla ya vita maduka hayo yalikuwa na bidhaa nyingi muhimu kwa mahitaji ya kibinadamu ila baada ya vita na maduka hayo yalifilisika kama ambavyo serikali ilifilisikaKwa hiyo tusema maduka ya Kaya yalianzishwa baada ya vita vya kagera?
Nahitaji tujadiliane kwa hoja kama hivi siyo kutukanana kama wengine haileti heshimaHayo maduka kusema kweli nilivyosikia kwani sikuwepo yalisaidia sana wananchi kupata bidhaa kwa bei nafuu isiyokuwa ya kibiashara (kijamaa) kabla ya vita maduka hayo yalikuwa na bidhaa nyingi muhimu kwa mahitaji ya kibinadamu ila baada ya vita na maduka hayo yalifilisika kama ambavyo serikali ilifilisika
Wazanzibar maisha yao hayakuwa magumu sana kwao kwani kwanza walikuwa wachache na pia walikuwa wanasaidiwa sana na ndugu zao waarabu.Nahitaji tujadiliane kwa hoja kama hivi siyo kutukanana kama wengine haileti heshima
Na kwa ndugu zetu Zanzibar maisha yalikuwaje kipindi hicho?
Wacha kuleta sifa za kimungu mungu hapa Nyerere alikuwa binadamu kama wengine, alifanya mazuri na mabaya. Hakupenda kukosolewa na unazungumzia machawa gani wa sasa kuliko wale wa zamani wa 'Zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti? Vijana walikuwa desperate mpaka wakajaribu kuteka ndege ili waondoke nchini wakatafute maisha.Ulitaka ajilimbikizie mali kama hawa waliopo leo unafikiri Angeiacha nchi moja?
Ni nani angekubali kodi za watanganyika zichukuliwe na Mzanaki na familia yake .
Unafikiri vijana wa enzi zile walikua waoga kama hawa sasa hivi machawa wanaoshangilia nchi yao kuuzwa kwa wazungu na waarabu bila kujua miaka 50 ijayo watakua waosha makalio ya waarabu ndipo wapate pesa ya kula?
Nyerere ndiye aliyechaguliwa na Mungu ili kuweka dira ya Nchi ya Tanganyika ipende usipenda na haitabadilika wengine wote wamejawa na ubinafsi na ufisadi.
Hata mitume wa Mwanzo hawakujenga nchi zao bila kwanza kuweka misingi ya watu wao kuwa na haki ,usawa na kuondoa dhulma.
Nyerere alikua kiongozi sio mtawala na mlafi kama wengine,miaka miwili malori zaidi ya 1000 majengo yasiyohesabika je wakikaa miaka 24 kama Nyerere?
Mabeoari yameua watu wengi sana ili kuhalalisha uovu wao.
Hapo ndipo unapo kosea. Fuatilia ninakopitia humu JF uone isivyo kuwa kweli kuhusu hilo ulilo andika.Haina shida. Inatosha tu kuwapa "like" CHADEMA
Kwa kitendo cha kuung'ang'ania ujamaa wake wa mchongo ndiyo kumeifanya hii nchi mpaka kesho, kuliwa na wajanja wachache.Nimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukali, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Wewe Unasema umezaliwa miaka ya sabini halafu Unasema kulikuwa hakuna nguo na kwamba watu walikuwa wanavaa magunia 😂😅Nimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukali, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
umekula ubwabwa mwingi halafu ukenda kulala na kuota hayo maisha mazuri ya Nyerere.Wewe Unasema umezaliwa miaka ya sabini halafu Unasema kulikuwa hakuna nguo na kwamba watu walikuwa wanavaa magunia 😂😅
Mimi nimezaliwa miaka ya Hamsini lakini sikuwahi kuona watu wakivaa magunia 🤣
Na pia vyakula tulikuwa tunakula mpaka tunasaza 😀😅
Maisha yalikuwa ya raha sana ndio maana ukaona hata Wacongomani wengi walihamia huku Tanzania kuja kupiga muziki !
Maisha yalikuwa mazuri sana asikudanganye mtu !
Sasa hivi maisha ni magumu kuliko ilivyokuwa Enzi zile !
Kama wapo Wazazi wako waulize !
Wewe usingeweza kujua maisha yakoje maana miaka hiyo ya 70 ndio kwanza Umezaliwa !😅🙌🙏👍