Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Ukweli ambao watanzania wengi hawataki kuusikia, ni kwamba nyerere na sera zake za baada ya uhuru zilishindwa Kuiletea maendeleo nchi hii.

Atabaki na heshima zake, kwa sababu alipojua kua amefeli, aling'atuka na kuruhusu Mfumo na maono ya watu wengine yaingie kurudisha nchi kwenye mstari na kweli mambo yalibadirika.

Kuna mambo mengi alifanikiwa, Kama kuishikamanisha nchi, Kujenga uzalendo na umoja, kuondoa ukabira, Kuleta hoja za umoja wa Africa, Ukombozi wa nchi za Africa kutoka kwa mkoloni. Lakini suala la maendeleo kwa nchi hii lilimshinda na sio dhambi kushindwa muhimu niku kubaliana na matokeo.

💯
 
Nimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukali, Mafuta na hata nguo.

Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri.

Je, Uongozi ulimshinda?
mlivyopata uhuru hao mwafrika gan alikuwa tajiri kihalali na akawa maskini kweny utawala wa Nyerere ?( achana na utajiri wa kuwa chawa kwa mkoloni dhidi ya waafrika wenzio )
 
Mtoto wa 2000 mwenye bachelor degree huyu akiifikiri jambo kwa kina na umakini mkubwa....
CCM HOYEEEE
 
Siyo nchi tu hata familia yake iangalie ilivyo
nina mashaka na akil zako .
Wajibu wa mzazi kwa mtoto ni
1.Maradhi
2.Mavazi
3.Elimu bora
4.Usalama

Kuna kitu hakutimiza kwa watoto wake ?

Nyinyi ndo mnahamsisha viongoz watumie mali hovyo kuandaa future ya uongo kea watoto wao mf Mwiguluh na Sa100
 
Hizi dhana nyingine zinatengenezwa kwa lengo la kumuabudu mtu fulani tu lakini kiuhalisia hazina ukweli wowote,Hakuna taifa lolote katika dunia hii lililoanzishwa na Nyerere.

Wewe wasema. Shida vijana wa 2000 mnataka kujifanya wakuaji kuliko hata walikuwepo kipindi Cha Nyerere.
 
This guy was bright for nothing he was not visionary (great thinker)

Kupata Uhuru was great thing endapo tungeutumia Uhuru in positive way

I appreciate him in some extent but he was dominator oriented and not leader oriented.
 
Wewe wasema. Shida vijana wa 2000 mnataka kujifanya wakuaji kuliko hata walikuwepo kipindi Cha Nyerere.
kwan viongoz wa sasa wamefanya nn zaid ya kuuza nchi ?
hlf unajiita mtu mzima ambae haoni kuwa kwasasa tunakaribia kupigwa mnada madeni kila kona
Hakuna mradi tumejenga kwa pesa za ndani


Tunaacha kuku wa kienyej , Tunashabikia kuku wa kisasa kisa unafuu wa bei na sio utamu wa nyama
 
Miaka yote hii umekuwa mtu mzima; na sijui kama hata shule ulikwenda, bado hata akili ya kutafuta taarifa mwenyewe huna?
Unaeleza umezaliwa miaka ya 1970. Sasa wewe kama mtoto hayo mambo uliyajuaje?
Tueleze ulipata utapia mlo ndiyo maana akili yako ikadumaa kiasi hiki?

Ni waTanzania wangapi walikufa njaa wakati huo, unajuwa? Je, Ethiopia na hapo Kenya, nako Nyerere aliwanyima chakula watu wa huko waliokuwa wakifa kwa njaa?
Kwani lilibka yingo kalisema?

Mimi nilikuepo, tena huyo hajaelezea waliokua wanapotea. Au walipotezwa?
. Wengine tunashukuru tulikua nabuwezo wa kuikimbia nchi.
 
Miaka yote hii umekuwa mtu mzima; na sijui kama hata shule ulikwenda, bado hata akili ya kutafuta taarifa mwenyewe huna?
Unaeleza umezaliwa miaka ya 1970. Sasa wewe kama mtoto hayo mambo uliyajuaje?
Tueleze ulipata utapia mlo ndiyo maana akili yako ikadumaa kiasi hiki?

Ni waTanzania wangapi walikufa njaa wakati huo, unajuwa? Je, Ethiopia na hapo Kenya, nako Nyerere aliwanyima chakula watu wa huko waliokuwa wakifa kwa njaa?
Kwani lilibka yingo kalisema?

Mimi nilikuepo, tena huyo hajaelezea waliokua wanapotea. Au walipotezwa?
. Wengine tunashukuru tukaikimbia nchi.
 
Wewe wasema. Shida vijana wa 2000 mnataka kujifanya wakuaji kuliko hata walikuwepo kipindi Cha

Ungesena sio Baba yangu wa Taifa ningekuelewa. Lakini huwezi kuondoa heshima ya Nyerere Kama Baba wa Taifa la Tanzania. Kasome kesi ya Uhaini ilitokuwa inamkabili wakati wa ukoloni na jinsi alivyoishinda. Msomeni kwanza Nyerere kabla ya kukurupuka.
Acha shobo siongei na wewe au umedata
 
Nimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukali, Mafuta na hata nguo.

Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni inchi ikiwa vizuri.

Je, Uongozi ulimshinda?
It's very obvious Nchi Ilimshinda ikamlazimu kutoka tu madarakani
 
Nyerere Nchi haikumshinda kivile alijitahidi sana isipokuwa nchi iliyumba sana alivyoamua kuingiza nchi vitani kumpiga na kumfurusha madarakani Iddi Amin ile vita iligharimu sana nchi hadi ikafilisika .
Pia sera za ubepari zilimbana sana kwa kuwa alikuwa na mtzamo wa sera kinzani za ujamaa .
Kulikuwa na sababu ya kuingia vitani? tufafanulie
Ila nakazia hapa kwa umri wako huu ukisoma Bure shule ya msingi kwa kulipa ada ya kawaida kabisa huku ukipatiwa madaktari bure na sekondari ulilipa ada bila michango yoyote huku Ukipata huduma stahiki tofauti na sasa elimu ni Bure lakini michango ni mara 10 zaidi ya ada ya iliyofutwa

Pia ulipata huduma za afya bure na dawa zilikuwa zinapatikana huku sasa hivi pamoja na kichangia na uwepo wa NHIF lakini bado watu wanabaguliwa kwa baadhi ya magonjwa.

Huyo mwamba pamoja na kwamba inaonekana alifeli ila najiuliza kama kungekuwa na cost sharing ya huduma za kijamii kama sasa maana yake tungekuwa tumesogea zaidi maana kipindi kile mwamko wa wananchi kuchangia Maendeleo ulikuwa mkubwa. Makusanyo yote yalipelekwa kwenye kutoa huduma za kijamii pasipo kuboresha miundombinu

Ila mwisho wa siku pambana acha kulia lia, Nyerere ametoka madarakani miaka 40 iliyopita hivyo hakuna excuse maana miaka 40 ni mingi kuleta mabadiliko hata kama alichemsha
Hakuna anayelialia tunajiribu kutafakali no kuchambua pale walipikosea Viongozi wetu
 
Back
Top Bottom