Japan.Yani haka kagari huwa natamani sana nikachukue kama back up huko sababu ya space ila tatizo lake huu mlango wa kuburuza siupendi kabisaaa mtaalamu wa bodi anibadilishie ufunguke kama milango mingine usiwe wa kuburuza kama ulivyo sasa inawezekana?
View attachment 2687232
Ipeleke Uganda Kampala kuna jamaa anaitwa DK Car Modifications. Ataitengeneza jinsi unavotaka, japo itaku cost somehow. Pia kuisafirisha hadi Uganda.Yani haka kagari huwa natamani sana nikachukue kama back up huko sababu ya space ila tatizo lake huu mlango wa kuburuza siupendi kabisaaa mtaalamu wa bodi anibadilishie ufunguke kama milango mingine usiwe wa kuburuza kama ulivyo sasa inawezekana?
View attachment 2687232