Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Aagh wapi..!! hakuna cha uhaba wa majina wala nini. Tuliamua tutoke kivyetuvyetu... Kama ilivyo kwa akina Shekinyashi, Shemdoe, Shemahonge, SHETANI .... etcWale akina komba hujawasikia huko kusini? huenda wana uhaba wa majina...