mmetamaniana....kama kuku!!Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??
Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???
kama hakupigii piga wewe, mens wengi ni wavivu kuandika msg hata kupiga kama hakuna jambo lolote la msingi la kukuambia laba kama sikui hiyo anataka kugonga ngozi ndo atapiga2 na kutoma msg, zile za mwanzo ilikuwa chambo ya kukunasia tuu!!
Wanawake wanakuwa wagumu kabla... lakini ukishampata anaanza kuwa king'ang'anizi.... !sitaki mazoea ya kung'ang'aniana.....
Ulinitakia nini sasa??? Uonje tu halafu ule kona wanaume nyie bana sijui mkoje???
Sasa unaning'ang'ania nilikuambia nataka kukuoa?
Sasa unaning'ang'ania nilikuambia nataka kukuoa?
Na mimi nauliza tu jamani, hivi hapa tunazungumzia kuonja au kuonjana????
Ulivyotoa nae SINGLE ikawa imeuza sana mpaka imevunja rekodi sasa anataka mtoe ALBAMU kabisa ili mauzo yafike PLATINUM
Kwa hiyo wewe unataka mara moja na kuondoka kwani unaonja chumvi kwenye mboga???
Hahahaha! Hivi kumbe mboga yaonjwa mara moja? Sasa kama nimeonja nikakuta chumvi imezidi kuna haja ya kuonja tena au kutengeneza mboga nyingine?
Haya wewe endelea tu shauri yako. Chumvi si unaonja mara moja unataka uonje onje mara nyingi si itaishia jikoni mboga yenyewe???
vidume ''WAKISHALOWEKA'' ndo wamemaliza kazi hao.......
labda ukutane na LOVER_BOY fulani hivi ambaye anazipenda hizo kitu.....!ukikutana na vijana ''fulani'' hivi wao ni SINGLE USE
Sasa kama mboga imezidi chumvi kiasi kwamba hailiki, haikupasi kutafuta mboga mbadala?
singe use huh??hii nimeipata leo sijaisikiaga....
Utabadilisha mboga mara ngapi nayo hiyo ukikuta inashida??
Mara nyingine sasa unakuwa makini ili upate mboga tamu ya kudumu.