Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
mmetamaniana....kama kuku!!Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??
Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???