GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme ulitakiwa uwe wa uhakika, ndio jongoo atembee, nasikia watu walijikojolea ulipokatika ghafla, wasirudie kuzua taharuki tuMkuu Mtani wangu Mwerevu Arovera nitafurahi sana kama ukija na kuanza kutoa Muongozo wako wa Kimaoni hapa.
Nimecheka mpaka basi. Nasikia baada ya Jongoo Kukwama Queen Sheeba ameogopa Kuipanda na Kuizindua rasmi Kesho.Umeme ulitakiwa uwe wa uhakika, ndio jongoo atembee, nasikia watu walijikojolea ulipokatika ghafla, wasirudie kuzua taharuki tu
Hahaaa, hivi Mtani hua wanazindua kila siku, maana walishazindua kumbe kuna uzinduzi tenaNimecheka mpaka basi. Nasikia baada ya Jongoo Kukwama Queen Sheeba ameogopa Kuipanda na Kuizindua rasmi Kesho.
Queen Sheeba Kesho anazindua kutokea Dar es Salaam kwenda Dodoma labda aghairi kwa kuogopa Umeme nae Kumkatikia si unajua tena Mtani 2025 hii hapa na Mawindo Kwake ni mengi hasa baada na Yeye pia kuamua kuja na Kundi lake ndani ya Makundi Manne ya Mafia watupu ndani ya Chama?Hahaaa, hivi Mtani hua wanazindua kila siku, maana walishazindua kumbe kuna uzinduzi tena