Queen Sheeba Kesho anazindua kutokea Dar es Salaam kwenda Dodoma labda aghairi kwa kuogopa Umeme nae Kumkatikia si unajua tena Mtani 2025 hii hapa na Mawindo Kwake ni mengi hasa baada na Yeye pia kuamua kuja na Kundi lake ndani ya Makundi Manne ya Mafia watupu ndani ya Chama?