Nauliza tu kwa wanaume hili swali

Nauliza tu kwa wanaume hili swali

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Mambo zenu vichaa wetu wanaume jf.

Sasa swali ni hili katika kupewa mechi za kirafiki maana wengi humu ni hamna hela ???

Mnapoonewa huruma ni wapi mnaenjoy mwanadada mwenye umri mdogo au mwanadada aliyekula chumvi nyingi??

Hebu toeni ushahidi hapa mzabzab
 
Mambo zenu vichaa wetu wanaume jf.

Sasa swali ni hili katika kupewa mechi za kirafiki maana wengi humu ni hamna hela ???

Mnapoonewa huruma ni wapi mnaenjoy mwanadada mwenye umri mdogo au mwanadada aliyekula chumvi nyingi??

Hebu toeni ushahidi hapa mzabzab
Gari mbivu haiwezi kuvuta gari nzima.....OJ Simpson

Ukitaka kununua gari utachagua iliyotwmbea kilometer chache
 
Mi napenda gari iliyopitia kwa madereva mbali mbali yani gari ninayoijuwa mana huwa naona vile inapakia mizigo mikubwa na inatembea mwendo fresh sipendi kuanzisha mpya mara nyingi ni kubahatisha nyingi zinakoroga..
 
Sitaki vitoto kwa sababu zifuatazo;
1. Vinataka show off sana kwa wenzie. Hasa kama una gari, iwe baby walker au ipo fully branded (say Vodacom, TBL etc)
2. Mapenzi ya kitoto yale ya bebi umekula, bebi upo wapi, bebi vyokovyoko..!!
3. Unakiambia tukutane saa flani mahali flani, Kinaweza kije kesho yake..!!
4. Vingi vinataka fasheni za kila kitu..!! kuna simu mpya, kimo, kuna dera jipya kimo, kuna kile kipya kimooo..!!
 
Sitaki vitoto kwa sababu zifuatazo;
1. Vinataka show off sana kwa wenzie. Hasa kama una gari, iwe baby walker au ipo fully branded (say Vodacom, TBL etc)
2. Mapenzi ya kitoto yale ya bebi umekula, bebi upo wapi, bebi vyokovyoko..!!
3. Unakiambia tukutane saa flani mahali flani, Kinaweza kije kesho yake..!!
4. Vingi vinataka fasheni za kila kitu..!! kuna simu mpya, kimo, kuna dera jipya kimo, kuna kile kipya kimooo..!!
Wacha na.mtu mzima Hana hizoo
 
Mambo zenu vichaa wetu wanaume jf.

Sasa swali ni hili katika kupewa mechi za kirafiki maana wengi humu ni hamna hela ???

Mnapoonewa huruma ni wapi mnaenjoy mwanadada mwenye umri mdogo au mwanadada aliyekula chumvi nyingi??

Hebu toeni ushahidi hapa mzabzab
Kwanza tutake radhi ndo tukujibu🙂
 
Back
Top Bottom