Nauliza tu, Profesa Nabi yuko wapi? Au ana tatizo gani?

Nauliza tu, Profesa Nabi yuko wapi? Au ana tatizo gani?

Unavoidable Servant

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2021
Posts
1,728
Reaction score
4,545
Sikumuona Profesa Nabi Lubumbashi mechi na TP Mazembe, na leo simuoni mechi na Geita bado Kaze ndio anaongoza timu.

Sina mashaka yoyote na Kocha Kaze maana kwa hadhi yuko hadhi sawa na Nabi kocha ya kwamba anahudumu kama msaidizi wa Nabi.

Ila nataka kujuwa Profesa Nabi amepatwa na tatizo gani? Au ni mambo tu ya kiutawala anamuamini Kaze yuko na personal problems?
 
Sikumuona Profesa Nabi Lubumbashi mechi na TP Mazembe, na leo simuoni mechi na Geita bado Kaze ndio anaongoza timu.

Sina mashaka yoyote na Kocha Kaze maana kwa hadhi yuko hadhi sawa na Nabi kocha ya kwamba anahudumu kama msaidizi wa Nabi.

Ila nataka kujuwa Profesa Nabi amepatwa na tatizo gani? Au ni mambo tu ya kiutawala anamuamini Kaze yuko na personal problems?
passport imeksipaya
 
Anarudi ,kaenda kushughulikia Visa yake chap,ana kibarua kizito mbele ,kwa hiyo kaona aachane amalizane kabisa na visa
 
Sema uongozi wa Yanga umekaa kimashakamashaka sana kukuta wameshavurugana huko ni kugusa
Maana nilisikia hakubaliani na madeko ya bambucha Morrison Sasa sijui anyway mpira wa tz ni usiupende sana
 
Back
Top Bottom