Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambumbumbu si wameomba game isogezwe mbele?Subiri tar 16 utamuona we Zuwena[emoji23]
Yupo nje ya nchi kushughulikia vibali vyake vya kumuwezesha kufanya kazi nchini. Muda si mrefu atajumuika kwenye timu yake pendwa ya wananchi.Sikumuona Profesa Nabi Lubumbashi mechi na TP Mazembe, na leo simuoni mechi na Geita bado Kaze ndio anaongoza timu.
Sina mashaka yoyote na Kocha Kaze maana kwa hadhi yuko hadhi sawa na Nabi kocha ya kwamba anahudumu kama msaidizi wa Nabi.
Ila nataka kujuwa Profesa Nabi amepatwa na tatizo gani? Au ni mambo tu ya kiutawala anamuamini Kaze yuko na personal problems?
Wewe ndio unaufanya mpira wa Tanzania uonekane ni wa hovyo, maana hata maoni yako tu ni ya hovyo hovyo. UVCCM ubongo wenu una matatizo sana.Sema uongozi wa Yanga umekaa kimashakamashaka sana kukuta wameshavurugana huko ni kugusa
Maana nilisikia hakubaliani na madeko ya bambucha Morrison Sasa sijui anyway mpira wa tz ni usiupende sana
Vibali vya kufanya kazi nchini Tanzania huwa haviombwi Ubelgiji, kwa hilo amewadanganya kwa kuwa anawajua nyie ni nani na mko wangapi 😁😁😁Yupo nje ya nchi kushughulikia vibali vyake vya kumuwezesha kufanya kazi nchini.
Shida yangu ilikuwa kujuwa kulikoni, niliyeuliza tayari nimeshajiridhisha alikuwa na mambo muhimu yaliyohitaji yeye lazima asafiri kwenda Ubeligiji na amesharudi.Vibali vya kufanya kazi nchini Tanzania huwa haviombwi Ubelgiji, kwa hilo amewadanganya kwa kuwa anawajua nyie ni nani na mko wangapi 😁😁😁
hata mimi nilikuwa sikujibu wewe, nilikuwa namjibu Tate Mkuu aliyesema Nabi yupo Ubeleshi kushughulikia vibali vya kufanya kazi Tanzania!Shida yangu ilikuwa kujuwa kulikoni, niliyeuliza tayari nimeshajiridhisha alikuwa na mambo muhimu yaliyohitaji yeye lazima asafiri kwenda Ubeligiji na amesharudi.
Sema kweli, kesharudi? Maana ile timu akiachiwa kaze mechi tatu zijazo tunapoteza zote. Pale hakuna kocha.Shida yangu ilikuwa kujuwa kulikoni, niliyeuliza tayari nimeshajiridhisha alikuwa na mambo muhimu yaliyohitaji yeye lazima asafiri kwenda Ubeligiji na amesharudi.
Kwahiyo tuliza kipago, work permit zinatoka immigration kurasini.
jibu umelipata nabi yupo wapiSikumuona Profesa Nabi Lubumbashi mechi na TP Mazembe, na leo simuoni mechi na Geita bado Kaze ndio anaongoza timu.
Sina mashaka yoyote na Kocha Kaze maana kwa hadhi yuko hadhi sawa na Nabi kocha ya kwamba anahudumu kama msaidizi wa Nabi.
Ila nataka kujuwa Profesa Nabi amepatwa na tatizo gani? Au ni mambo tu ya kiutawala anamuamini Kaze yuko na personal problems?
Sawadogo yupo wapi mbona hachezi?Sikumuona Profesa Nabi Lubumbashi mechi na TP Mazembe, na leo simuoni mechi na Geita bado Kaze ndio anaongoza timu.
Sina mashaka yoyote na Kocha Kaze maana kwa hadhi yuko hadhi sawa na Nabi kocha ya kwamba anahudumu kama msaidizi wa Nabi.
Ila nataka kujuwa Profesa Nabi amepatwa na tatizo gani? Au ni mambo tu ya kiutawala anamuamini Kaze yuko na personal problems?
Hahaha kunywa maji upoe Kisha uje ujibu swali Nabi yuko wapi!?Wewe ndio unaufanya mpira wa Tanzania uonekane ni wa hovyo, maana hata maoni yako tu ni ya hovyo hovyo. UVCCM ubongo wenu una matatizo sana.
Uko sahihi binafsi benchi akiwa Kaze huwa nakosa hata nguvu ya kuangalia mechi kama karudi taarifa itakuwa njema sanaSema kweli, kesharudi? Maana ile timu akiachiwa kaze mechi tatu zijazo tunapoteza zote. Pale hakuna kocha.
The same to me. Bora hata Mwinyi Zahera. Mzee wa kusinya.Uko sahihi binafsi benchi akiwa Kaze huwa nakosa hata nguvu ya kuangalia mechi kama karudi taarifa itakuwa njema sana
Hahahaha [emoji12]Mume wako.