Kawaulize Tp mazembe kwa nini wanacheza shirikisho wakati wao ndio mabingwa wa DRC?Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Majibu wanayo ila hawawezi kukupa.We endelea kufurahia ushindi wa saba kwa nunge(7-0)!Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Mazembe nayo timu? Loser kama yule anafungwa na vipers kutupwa kwenye kombe la malosers pamoja na kina utoKawaulize Tp mazembe kwa nini wanacheza shirikisho wakati wao ndio mabingwa wa DRC?
Leo pia kafungwa 2-1 na Bamako.Mazembe ni history.Mazembe nayo timu? Loser kama yule anafungwa na vipers kutupwa kwenye kombe la malosers pamoja na kina uto
Class is permanent, form is temporaryMazembe nayo timu? Loser kama yule anafungwa na vipers kutupwa kwenye kombe la malosers pamoja na kina uto
Unawadhalilisha mashabiki wenzako kwa kuuliza maswali ya watoto wa chekechea.Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Tuku ulize wewe unaecheza Champions League unazidiwa points na anae cheza shirikishoWadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Vitu viwili tofauti..kweli wazima huko ni wawili tuTuku ulize wewe unaecheza Champions League unazidiwa points na anae cheza shirikisho
Nenda CAF huko ukawaulizeWadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Shirikisho ni kushirikiana, kiushirika haina madhara. Mabingwa ndo kila kitu.Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Umeanza kufatilia mpira wiki hii nini [emoji23][emoji23][emoji23], maana kama ungeanza mwaka jana ungefahamu [emoji28][emoji28][emoji28]Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI