Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Kuna timu itapigwa kama ngoma robo fainali.Yeah ni loser mfano utopolo alitolewa hatua ya awali kombe la klabu bingwa na al hilal na vipers (mbabe wa utopolo)iliwatoa tp mazembe baada ya kumpa kichapo pale uganda na kusare pale drc kombe la klabu bingwa una la kusema tena?
Mashabiki hatuna raha pamoja na kuingia kwa kishindo kikubwa robo fainali.