Nauliza tu Yanga ndio bingwa wa ligi anacheza shirikishoSimba sio bingwa anacheza kombe la mabingwa hii imekuwaje?

Nauliza tu Yanga ndio bingwa wa ligi anacheza shirikishoSimba sio bingwa anacheza kombe la mabingwa hii imekuwaje?

Yeah ni loser mfano utopolo alitolewa hatua ya awali kombe la klabu bingwa na al hilal na vipers (mbabe wa utopolo)iliwatoa tp mazembe baada ya kumpa kichapo pale uganda na kusare pale drc kombe la klabu bingwa una la kusema tena?
Kuna timu itapigwa kama ngoma robo fainali.

Mashabiki hatuna raha pamoja na kuingia kwa kishindo kikubwa robo fainali.
 
Acha kuzungukazunguka mpe tu jibu la Moja kwa Moja kwamba Yanga alishindwa kwenye kombe la wakubwa akarudishwa kombe la watoto wenzake .
Anavyo zungukaaa sasa, yaan huyu kakamatwaaa kila kona hana pa kutokea, anabaki kulia lia tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dogo janja inaonyesha akili yako bdo imeganda

Fuatilia na Uefa Champion league na ligi za ulaya utapata majibu ya maswali yako km hauto kaza kichwa
Jibu hoja acha kuruka ruka au ndio uchura wenyewe!
 
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Jibu ni kwamba klabu bingwa wanacheza wale magiant wampira wa Afrika. Vilabu vikubwa!

Timu ndogo haziwezi mule. Kwasabab hazina ubora , uzoefu.
 
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Makolo [emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20230322-034746~2.jpg
 
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Watakuita mshabiki wa hovyo
 
Wadau naomba Ufafanuzi kidogo juu ya hiyo kwanini YANGA ambao ndio Bingwa wa Ligi Kuu anacheza Shirikisho Kombe la Washindwa na SIMBA ambao Sio Bingwa wa Ligi anacheza KOMBE la MABINGWA kwani YANGA nini KILIWAPATA?
Naomba Majibu yasiwe ya HASIRA na CHUKI
Mliwakatalia Agosto goli na penati kabla ya makundi kisha mkawakatalia Vipers goli la kusawazisha, nani asiyejua Makolokolo mmefika robo fainali ya CAF kimchongo mchongo? [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka huu Simba naye atakuwa bingwa wa ligi ya NBC...
 
Class is permanent, form is temporary
Mazembe Sio class ya Yanga wala Simba, labda kama unajitoa ufahamu
Hujui boli mazembe chali kifo cha mende wiki ya pili hii inapigiwa kura kwa kuwa mshiriki wa hovyo
 
Tuku ulize wewe unaecheza Champions League unazidiwa points na anae cheza shirikisho
Unashangaa watu wanao comment kama wewe wanatumia nini kufikiri.
Swali la kujiuliza kwani wapo kwenye ligi moja ya Afrika?
Commonsense my friend.
 
Mliwakatalia Agosto goli na penati kabla ya makundi kisha mkawakatalia Vipers goli la kusawazisha, nani asiyejua Makolokolo mmefika robo fainali ya CAF kimchongo mchongo? [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tokea lini umekuwa VAR au kocha?Unafikiri kwenye mashindano ya CAF kuna marefa wa michongo kama hao wenu wa ligi ya tigo pesa?
 
Back
Top Bottom