Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu 👏Dunia ya kibepari haina ndugu wala rafiki watu ukiwapa nafasi wanakushangaza vizuri kabisa. Kama unajenga misingi kwa familia ijenge tu. Familia nyingine haziungani mana kuna baadhi ya ndugu tumbo moja hawana sifa ya kuhurumiana wao kwa wao
Kuna namna leo imekua mkuuKingine mkuu jaribu mara moja moja uache hiyo tabia ya kula mchele mbichi...
Pole sana mkuu inshaallah M/mungu akufanyie wepesiKu
Kuna namna leo imekua mkuu
Unaachaje ugomvi? na hata ukitokea huo ugomvi hautakuhusu kwa sababu wewe umeshaondoka kwenye ulimwengu huu, pambana na maisha yako usilazimishe watu wawe sehemu ya maisha yako wala wewe kuwa sehemu ya maisha yao, huko ni kujitafutia matatizo kwa lazima.Mkuu, nina biashara zangu nzuri tu, lakn naamini nikidondoka leo ntaacha ugomvi nyuma, sijui umenipata......
Roberto ana hekima sana hata akiwa nje ya Movie..!!Pole sana mkuu inshaallah M/mungu akufanyie wepesi
🙏🙏🙏🙏Unaachaje ugomvi? na hata ukitokea huo ugomvi hautakuhusu kwa sababu wewe umeshaondoka kwenye ulimwengu huu, pambana na maisha yako usilazimishe watu wawe sehemu ya maisha yako wala wewe kuwa sehemu ya maisha yao, huko ni kujitafutia matatizo kwa lazima.
Umeeleweka vizuri. Achana na wanaokubeza.Mzee wetu ni katiri hasa, kiasi kwamba ametufanya vijana wake wote tumuachie kila kitu.
Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha.
Wazazi, fundisheni watoto wenu ushirikiano,
Niasaidieni, kifua kimekaba hatari🙏🙏🙏
Imeniumiza sana binafsiPole sana Mkuu Enter Passcode unaweza ukawa unapambana na unapata kila kitu lakini wakati mwingine unajikuta unapata huzuni na majonzi hasa pale unapoona watu wengine wana furaha na wanashirikiana kwa upendo katika kila jambo japo hata uwezo wao wa kipato sio wa kuridhisha. Nina experience na hiyo hali Mkuu.
Mkuu pambania maisha yako kisaokojia inaonesha Ata kiuchumi bado uko chini Sasa kama ndugu hawataki kushirikiana usiwambembeleze utakufa mapema weka focus ujijengee mizizi yako ya hela mnywMzee wetu ni katiri hasa, kiasi kwamba ametufanya vijana wake wote tumuachie kila kitu.
Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha.
Wazazi, fundisheni watoto wenu ushirikiano,
Niasaidieni, kifua kimekaba hatari🙏🙏🙏
= katiliMzee wetu ni katiri hasa, kiasi kwamba ametufanya vijana wake wote tumuachie kila kitu.
Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha.
Wazazi, fundisheni watoto wenu ushirikiano,
Niasaidieni, kifua kimekaba hatari🙏🙏🙏
Wewe weka data za Mali zako na warithi km unaogopa Nini kitatokea ukiondoka.Mkuu, nina biashara zangu nzuri tu, lakn naamini nikidondoka leo ntaacha ugomvi nyuma, sijui umenipata......
Kinachokuliza ni kitu gani?Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha.
Huyo ndo mimi mkuuRoberto ana hekima sana hata akiwa nje ya Movie..!!