Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
๐๐๐ Your medicine is boiled= katili
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ Your medicine is boiled= katili
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Tafuta kijana mzee wenu yupo sawa tatzo lako unataka mali zake me napenda kijana nimsaidie pale alipoishia hivyo hivyo na na mzee wako ukipewa tu vya Bure utaenda kuhongaMzee wetu ni katiri hasa, kiasi kwamba ametufanya vijana wake wote tumuachie kila kitu.
Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha.
Wazazi, fundisheni watoto wenu ushirikiano,
Niasaidieni, kifua kimekaba hatari๐๐๐
9secondsHuyo ndo mimi mkuu
Equalizer.....9seconds
They will know!!Equalizer.....
Even others want to know who am i
๐๐๐ mkuu pamoja na kwamba sikujui, ila kuna namna unakujaga kichwani mwanguPole sana Mkuu Enter Passcode unaweza ukawa unapambana na unapata kila kitu lakini wakati mwingine unajikuta unapata huzuni na majonzi hasa pale unapoona watu wengine wana furaha na wanashirikiana kwa upendo katika kila jambo japo hata uwezo wao wa kipato sio wa kuridhisha. Nina experience na hiyo hali Mkuu.
Umeonekana= katili
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
= boiling.๐๐๐ Your medicine is boiled
Hii inawahusu familia za kina Mo na SSB au sisi tu weusi?Dunia ya kibepari haina ndugu wala rafiki watu ukiwapa nafasi wanakushangaza vizuri kabisa. Kama unajenga misingi kwa familia ijenge tu. Familia nyingine haziungani mana kuna baadhi ya ndugu tumbo moja hawana sifa ya kuhurumiana wao kwa wao
Unajichanganya hueleweki. Awali umesema unaishi kwa shida, tena unajibu kuwa una biashara nzuri tu. Fafanua.Mkuu, nina biashara zangu nzuri tu, lakn naamini nikidondoka leo ntaacha ugomvi nyuma, sijui umenipata......
Kivipi Mkuu? ๐๐๐๐๐๐ mkuu pamoja na kwamba sikujui, ila kuna namna unakujaga kichwani mwangu
Akikujibu ni TAG.Kuishi mkuu tafsiri nyepes ni kusubiria kufa mana dunian hakuna kitu kipya mzee. Fanya utafiti binafs hata kama sio leo
๐๐๐๐
Pambana katika huu ulimwengu kuna watu wamezaliwa wakiwa hawana hata ndugu na wazazi wao walikuwa baada ya wao kuzaliwa tu / wengine Wazazi walikufa baada ya nchi zao kuingia vitani wakabaki wakiwa hawana ndugu wala Jamaa but still hawaja kata Tamaa na wapo waliopambana na wakafanikiwa Tambua kwamba dunia haina huruma na MtuAngalau moto umetoka kifuani๐๐๐
Acha ujuaji katika kila jambo Mtu anapitia katika nyakati ngumu badala ya kutafuta njia njema ya kumshauri ndio kwanza Una mkandamiza Kwa kutumia udhaifu wake wa uandishi kosa ambalo halina hata msingi wowote ule katika hii thread= katili
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Tembea ujionee mzee, hayo mambo yapo! Experience hiyo watu wa kusini mwa tz wanayo sana tuHii inawahusu familia za kina Mo na SSB au sisi tu weusi?
Born alone die alone mamen ukisubili ushilikiane na ndugu wewe ni tatizoMzee wetu ni katiri hasa, kiasi kwamba ametufanya vijana wake wote tumuachie kila kitu.
Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha.
Wazazi, fundisheni watoto wenu ushirikiano,
Niasaidieni, kifua kimekaba hatari๐๐๐