Naumia, nami ni binadamu

[emoji1][emoji1][emoji1] angalia usitekwe wewe jamani, yaani nitaandamana


Natamani wakosee waniteke😂😂..watakuja hadithia...!kwqnza nitawazunguka...nitajitongozesha kwanza nipate kichwa ki1..hicho sasa nalala nacho mbere😂😂😂
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]unashangaa makaburi yako yanafukuliwa unapewa uzi wewe.
Hahahaha nilipo soma uzi Sunday nilijua mwisho nini kitatokea na usipo fungwa huu uzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha nilipo soma uzi Sunday nilijua mwisho nini kitatokea na usipo fungwa huu uzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu uzi ni kutoa pole na kukaa kimya.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kutazama. Usipofungwa tutajionea mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…