Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Aisee maisha kweli yanaenda kasiShikamooni wanaume wa humu walah!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee maisha kweli yanaenda kasiShikamooni wanaume wa humu walah!!
The smartest tapeli jamaa alikuwa noma sikuijua iyo issue kwakweli.Hahahahahaha nyete alikuja kuwatapeli watu hapa walituma pesa balaa....
Alimpost dogo mmoja hivi ameungua moto yupo lugalo... Akafake ye ndo maza wa mtoto kisha akaomba msaada wa pesa za matibabu heheheheheh watu wakatuma
Salaleeew kumbe mwizi
Naona limekugeukia.
Eti u know for her healthy sake please
Uliambiwa nlikua naumwa maini au mapafu.
Babu naumwa vidole mguuni..
Siku nyingine tuliza hizo p zako umbea na kujishuku waachie wadada..
Eti let's call it off man...she needed mercy from the people...
I need mercy from who?..
We ndo usiehitaji huruma na skendo ya kukopa na kukimbia madada jf?
Loh..humu kila mtu ana yake..Toba toba toba kukopa na kukimbia madeni tena
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Safi aggy hakuna kuogopa mwanaume humu
Na pesa hakuna kurudisha na ukitaka msaada tutachanga wala usiogope
Yeye ndio ajihurumie maana ana life ban kwa id yake ile nyingine kwa tuhuma zake ye mwenyewe makando kando mengi
Hahaha..kazana kuita mod
Mfitini kashapatikana shughuli imeisha
Loh!
Huu uzi umetia doa wanaume wa JF naomba tu Mod's muufute kwa maslahi mapana.
Pole mdogo wangu. Nimekosa hata la kusema loh
Mwenza acha tu.Aisee maisha kweli yanaenda kasi
Jamani hivi humu wengine tupo nanjirinji wengine chato, wengine sumbawanga, wengine kusikojulikana huko inakuwaje yanatokea mambo ya fitina... Uzushi.. As if tunakaa mtaa mmoja?Loh..humu kila mtu ana yake..
Tunabebana hivo hivo maisha yaende..
Ilivuma sana halafu jamaa alivo kauzu anajichanganya kama kawaida
Skendo ya pili ni umbea.usimwambie kitu kitafika mahali bila kutarajia.
Ni mbea mbea sana..hadi wenzangu kibao wanamjua humu wanamuogopa ka ukoma
Sasa hili langu kajishuku huyo mbio kwa pm za watu loh!
Jamani hivi humu wengine tupo nanjirinji wengine chato, wengine sumbawanga, wengine kusikojulikana huko inakuwaje yanatokea mambo ya fitina... Uzushi.. As if tunakaa mtaa mmoja?
Tungekaa physical hii jamii sijui ingekuaje
Usishangae wakaja na ban kisa jina langu. au nao wamenogewa na kinachoendelea humu wanafuatilia comments tu.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nawaita hawataki labda saidia we kaka angu na hilo jina lako sasa mwee
Hahahaha sijambo mkuu..... Naomba uendelee kuamini kwamba mimi ni me hivyo hivyo
Shikamooni wanaume wa humu walah!!
Ohoooo amekuwa fuala hahahahahaha nikukute central hujui kama mimi mzalendo?