Naumia, nami ni binadamu

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Mmmh
Don umetolewa kafara,watu wazima tumeelewa!.

Ndo usiwe mwepesi wa kupeleka taarifa,ona sasa wambeya wa kweli wanacheka watsap!
 
Aisee mi kama ni mmoja wao naomba usinirudishie, amini amini nakuambia, hata mke wangu hajui kama nilitoa sadaka
 
Haaha aisee
 
Yaan upo kama mm...!kumbe humu kun watoto namna hii??mie marafiki nilionao kwanza siwaoni MMU..au la nna marafiki wazee[emoji23][emoji23][emoji23]...!nahofia nikisrma ni kukosa kqzi ya kufanya au ni mazoea ya ajabu ajabu na watu wa ajabu
Hahaaa hivi huu uzi ulikua unahusu nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…