Naumia sana kuona vipaji vikubwa vinafia Simba kwa kusugua benchi tofauti na watani, sio sawa hata kidogo!

Naumia sana kuona vipaji vikubwa vinafia Simba kwa kusugua benchi tofauti na watani, sio sawa hata kidogo!

Mtoa Mada sijui kama unafatilia vzr soka letu ok ipo ivi chiruda alienda morroco a karud azam akupata nafasi mbele ya mbombo na dube azam wakamtema akakaa miez 6 bila team simba ndio kumchukua sasa wew kwa akili yako mtu miezi 6 ajacheza uje umpe nafasi kikosi cha kwanza unakili wew ivi mtu ufeli azam uje u win simba chiruda kusajiliwa n simba ni kamali tu simba ilicheza
Acha kukalili ujinga asee... Fei kakaa muda gani?, Mudathiri amekaa muda gani mbona walifika kwenye timu zao wakapata namba?. SEMA kocha ni mbovu na haamini anachokifanya, mnafanya wachezaji kuwa wafalme.
 
John Bocco kwanini apate nafasi , halafu kina Chilunda wakose nafasi ? Kwaninii kina Onana wapate nafasi halafu kina Mohammed Mussa wakose ? Mbona Yanga anatoka Aziz Ki anaingia Zawadi Mauya ?

Hiki ndicho kinasababisha hata wachezaji kupigana misumari , hiki ndiyo kinasababisha wachezaji kuwa na makundi kambini , kwa style hii ni lazima kuwe na kundi la kina Duchu kina Kenedy , Kina Jimmyson mwanuke na Kundi la kina Chama , Miquissone , mwisho wa siku hawa ambao hawapati namba wanaonekana si chochote

Ni tofauti kwa watani, hata kina Crispin Ngushi wanavyopata namba na kina Mkude wanavyopisha wengine wacheze ni lazima waishi kwa ushirikiano na kuwa na juhudi ya mazoezi, hii ndiyo football ilivyo , Hakuna mchezaji anayesugua bench msimu mzima jamani (Jimmyson) na mchezaji huyo huyo aliyesugua Bench mkambakiza tena means kama mmembakiza mshaona anakitu why asipate nafasi ?

Acheni Mambo zenu , wapeni wengine nafasi waoneshe uwezo wao , Pengine mwisho wa siku baada ya kuona uwezo wao tutakuja kugundua Chilunda ni Bora kuliko Onana , Bocco anapataje nafasi mbele ya Mohammed Mussa ? Hapa ndipo naamini Uchawi upo

Kila siku Mohammed Hussein , Kapombe , watapataje Confidence za matches hawa kina Mwenda ?
Moses Phir kukosa nafasi tulipiga sana kelele hii ni kwamba wengi tunaamini ana uwezo , Haya vipi kuhusu Mohammed Musaa ? mbona hatuongei kwamba bwana mdogo hafai ?

Naumia sana kuona Vipaji vikubwa hivi vinafia Simba sc Wallah , Naumia mnooo ndiyo maana niliwaambia nitarekodi video hapa naandika lakini roho inaniuma sana BOCCO ANAANZA halafu Chilunda anakosa nafasiiiiii jamani kweli ?

Hao hao Mashabiki Wa simba wanasema Banda apewe muda , lakini ukiwaambia Chilunda apewe muda hawataki [emoji3]

Naamini maneno ya Okwa Simba coach anapangiwa wachezaji wakucheza , wewe uliona wapi msimu mzima wachezaji ni wale wale tu ?
Nakazia
 
Ukiona choo ndotoni usikitumie. Robertinho alijaribu kufanya rotation nusu fainali na Azam kilicho mkuta ni fedheha, hawezi kurudia. Acha wacheze hivo hivo mpaka cylinder head zipanuke engine zianze kuchemsha tukikutana nao tuwanyooshe
 
Tunahitaji kumwona Muhammed Juma akicheza.
Sio kumpigia kampeni Moses Phili tu tuwakumbuke na wazawa.

Muhammed Juma kipaji chake kinajulikana wazi kuwa ni mshambuliaji mzuri na bado kinda kabisa.

Hatutaki atolewe kwa mkopo popote.
 
Back
Top Bottom