Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
πππππ hasira za 3-0 hizoNyie mliopanga kikosi mtacheza na nani nusu fainali π€
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ hasira za 3-0 hizoNyie mliopanga kikosi mtacheza na nani nusu fainali π€
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu kuwa buzzy na wateja em.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira za 3-0 hizo
π€£π€£π€£π€£π€£ mmegeuzwa km chapati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu kuwa buzzy na wateja em.
BabacarHeshima kwenu,
Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke?
1: saidoo
2π±nana
3: jobe
4: fredy
5:mikson
6: taja mwingine
Babacar ana nini mule uwanjani?Ni bora hata Mzamiru hufanya makosa lakini ni mwepesi kuyasahihishawengi Kapombe,Tsabalala,Chama,Kanoute,Onana,Muzamiru,kwa kifupi ni timu nzima.wakubaki ni Babacar,Malone,Inonga na Ngoma.
Uyo ni mtu kaka.Babacar ana nini mule uwanjani?Ni bora hata Mzamiru hufanya makosa lakini ni mwepesi kuyasahihisha
Uwanja wa mazoezi kaonyesha kufeliHapo wa kubaki ni miqquesone pekee coz ye pekee kati ya hao hapewi muda wa kutosha hata wa kuimprove
Akipewa nafasi miqquessone ni mchezaji hatari sana
Wenye hasira ni wale ambao wanataka kupeleka kesi mahakamani wapewe ushindi wa mezaniπππππ hasira za 3-0 hizo
Mtani yaishe, hongera sana hivi ulimsikia Ahmed alichosema?? ππππWenye hasira ni wale ambao wanataka kupeleka kesi mahakamani wapewe ushindi wa mezani