Nimecheka mpaka basi[emoji1][emoji1]Mapenzi haya asikwambie mtu
Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii,mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za sim
Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso
Jana tangu asubuhi nampigia sim,hapokei SMS zangu hajibu,whasap na Jf online namuona,namtext hanijibu
Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana
Sijui kwa nini?
Definition ya maisha iko Complicated mno Kama utachukulia Kila kitu on left hand (-Ve Thought). Jaribu kuji-twist kwenye mawazo chanya utaona jinsi maisha yalivyo rahisi. Maybe your crush kaumia mikono, labda kaumwa,labda kaibiwa no nk.
Kua na at least a little faith in everything.
Lakini namuona online!!Definition ya maisha iko Complicated mno Kama utachukulia Kila kitu on left hand (-Ve Thought). Jaribu kuji-twist kwenye mawazo chanya utaona jinsi maisha yalivyo rahisi. Maybe your crush kaumia mikono, labda kaumwa,labda kaibiwa no nk.
Kua na at least a little faith in everything.
Definition ya maisha iko Complicated mno Kama utachukulia Kila kitu on left hand (-Ve Thought). Jaribu kuji-twist kwenye mawazo chanya utaona jinsi maisha yalivyo rahisi. Maybe your crush kaumia mikono, labda kaumwa,labda kaibiwa no nk.
Kua na at least a little faith in everything.
Dah!!!Hisia za za kimapenzi ni za kijinga sana ila embu jaribu kumpotezea mapenzi ya mtandao yana vimbwabga sana yanaumiza na kuwapa watu wengi sana sonona wengi wameolewa au wameowa au wana wapenzi wao mtandaoni wengi hutafuta wa kinjoy mapenzi japo wachache hupata bahat i mapenzi ya kweli
Jaribu na wewe kuonana nae inaweza kukusaidiaMawazo yangu kabisa