wasabasi sijaelewa hilo neno...Hujui Kiswahili?
1) Jee, una kawaida ya kunywa maziwa fresh? kama hapana, basi anza.
2) Pata asali mbichi, vijiko viwili vya chakula changanya na mdalasini, kutwa mara tatu.
Ukiona unashindwa kunywa maji mengi ujuwe huyahitaji kwa wakati huo. Usilazimishe. Kunywa unavyoweza tu.
Pima pressure pia. Kuna vidalili vya low blood pressure. But I am not a doctor.Mwenzenu nimeshapima magonjwa yote last week Jtano nimepima ,Ijumaa na Yesterday hakuna ugonjwa wowote unaonekana ,
Malaria,UTI,Typhoid,Amoeba ,HIV ,Pregnant ,Stress Free .Not so sure) Depression nimeshajifanyia utafiti ,fatigue sioni chochote
Lakini ninaumwa mwili wote ,Ninasikia kichefuchefu,Sina hamu ya kula ,kichwa kinauma kwa mbali ,ninachoka sana yaani nina magonjwa mbadala mengi mengi,not happy ,sijisikii hata kuongea ,sipati hamu ya kula,mie ni mpenzi sana wa maji nakunywa mpaka lita tatu au nne za maji ,lakini sasa hata 1.5 Lts inanishinda
Please Note : Ninanyonyesha mtoto bado ni under one year.
Ni nini jamani ,?
Ni Vigumu kidogo kumshauri mgonjwa atumie aina fulani ya dawa wakati hujui kiuhakika anachoumwa,
Kwa dalili ulizosema zinarelate na hatua za awali za kisukari,kapime sukari pia
Yaan wewe ndo km mm! Cnywi maziwa kabisaa harufu yake siiwez hata! Tunafanana..nami pia nna mtoto wa mwaka na miez saba