Naumwa jino, msaada wa dawa unahitajika

LEGE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
5,122
Reaction score
9,209
Wadau nilikuwa naomba msaada wenu kwayeyote anaye jua dawa ya jino iwe ya kienyeji au ya kisasa maana ninajino limetoboka linanikosesha raha kabisa .

Kwa suala la kuling'oa kwakweli sijafikilia na sipendi kabisa ila kama kutakuwa na mtu anayefahamu clinic nzuri ya meno hapa Dar es Salaam ambayo inatoa huduma ya kuziba meno yaliyotoboka please naomba anijuze.
 
ata mm leo mchana limenianza jino naskia maumivu hatari nimetumia painkiller kesho nawahi hospital
 
Ni wapi wanatoa huduma ya kuziba jino lililotoboka kidogo na ni wapi wanauza dawa ya kutibu jino bila kulitoa.
 
Naombeni msaada ni wapi wanatoa Huduma ya kuziba jino lililotoboka na ni wapi wanatoa tiba ya jino linalouma bila kungoa naombeni mnijuze jamani
 
Dawa ya jino ni kung'oa hiyo kuziba ni kwa muda tu au itategemea na lilivyotoboka
 
Nenda karibu na clock tower kama upo Dar uliza kwa Dr. Gupta yeye ni mtaalamu ingawa ni gharama kidogo
 
Matibabu ya jino lililotoboka ni kulitibu na kuliziba kwa dawa/cement/material sahihi ili kurudisha afya yake, muonekano/ form yake, uzuri wake na kazi yake!
 
unapoziba jino unahitaji kupata dokta bingwa mwenye dawa na huduma nzuri..
vyenginevyo kuliziba jino inaweza ikawa ni sherehe ya kuwafungia wadudu wa jino vizuri ndani ya jino ili waliozeshe haraka zaidi.
tumia dawa za kimasai.
 
Ni wapi wanatoa Huduma ya kuziba jino lililotoboka kidogo na niwapi wanauza dawa ya kutibu jino bila kulitoa
Mim ninakupa Dawa ya bure ukifanya hiyo dawa hutoumwa tena na jino kila asubuhi unapoa amka kabla ya kula kitu nenda zako chooni kakinge mkojo wako kiasi kisha utie mdomoni mwako usukutue kwa muda wa dakika kama 5 kisha tema mkojo wako fanya hivyo kwa muda wa siku 3 hutoumwa tena na meno katika maisha yako. Tumia kishauje unipe feedback Mkuu simoni joseph
 
Last edited by a moderator:
Eleza mahali ulipo kwanza, kama upo Dar nenda muhimbili kitengo cha meno kuna huduma nzuri sana hakuna longolongo, ukiingia geti kuu hapo hapo mkono wako wa kulia,bei ni chee elfu 20 tu huduma saafi,wahi asubuhi sana kabla hujala chochote.
 
Nashukuru wapendwa maana hata kazi nashindwa kufanya Mr mtimkavu iyo dawa kweli ni sahihi haiwezi kunichubua mdomo
 
Nenda kinondoni moroko, uliza kwa dr. Muya, clinic yake inaitwa Muya dental clinic, wahi kwani ukichelewa linazidi kutoboka.
 
Dawa yako imenifurahisha sana, ila ningependa kufahamu ni nini hasa kipo kwenye mkojo kinachofanya meno yasiume tena?
 
Dawa bora ya jino lililotoboka ni kuling'oa tu.......maana ukiliachia ile kutu inaaffect meno mengine pia so unaweza ng'oa zaidi ya hilo unavyozidi chelewa........mimi nimeng'oa moja tayari.......sikosi mswako sasa hivi ili kukinga meno yangu yaliyosalia.........kung'oa ni maamuzi magumu ila inabidi tuh......hauna namna nyingine.........!
 

Mwanangu unataka kumuua mwenzako??"
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mgonjwa wa meno... ntakwambia dawa 3 temporary na permanent

1. Majani machanga ya mapera unaweza ukayatafunia jino linapouma au ukayachemsha na kusukutua...

2. Sukutua na med-oral inauzwa elf 3 tu pharmacy

3. Ng'oa

Njia mbili za kwanza Dukakis the zinadumu kwa muda gani kwani toka nimezitumia sijaumwa tena meno.

Ya tatu ndo permanent solution
 
wakuu,kwa wenye matatizo ya meno, nawashauri mwende FAMILY CARE upanga.mtasahau kama mlikuwa mnaumwa meno biithnillah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…