Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Me na sindano hapana mkuuMtaani mnaiita pawa sefu
Kachome CEFTRIAXONE IV
Naumwa balaa yaani.niko hooiPole. Na mimi nilikua naumwa hivyo hivyo nikajikausha kama siku 4 nikaona nitafia ndani. Jitahidi uende hospital mama kukaa na ugonjwa nyumbani si kitu kizuri.
Jitahidi uenda hospitali usikae na ugonjwa nyumbani, pole.Naumwa balaa yaani.niko hooi
Ulipewa dawa gani mkuuPole. Na mimi nilikua naumwa hivyo hivyo nikajikausha kama siku 4 nikaona nitafia ndani. Jitahidi uende hospital mama kukaa na ugonjwa nyumbani si kitu kizuri.
Unataka nimbake nabii sio?Niambie ulipo ili nije faster nikufanyie maombi. Mimi ni Nabii maarufu sana hapa nchini. Nikikuwekea tu mkono kichwani, mapepo yote yanakimbilia kusikojulikana.
Mimi nilikutwa na typhoid, nilipewa cipro.Ulipewa dawa gani mkuu
Me cheti changu Kipo clear kabisa.yaani Mimi kama sijakupima mara Tatu aisee hunigegediUnaogopa nini hospital? Au we ni mdau wa kwenda peku bila ndala
Asante mpenziPolee
nenda kwa Mwamposa basiSitaki kwenda hosptal
tapeli hilonenda kwa Mwamposa basi
Inaonekana ya 80% Chanzo cha matatizo yao ni wao wenyewe trust me endelea kuogopa hospitalToka juzi naumwa yaani kuna saa nasikia bariidii
Kuna saa nasweat Sana hasa usiku
Halafu sina nguvu wala appetite
Na mdomo mchungu
Pia sina nguvu
Sitaki kwenda hosptal
Naombeni mniambie dawa ya kutumia najua wataalamu wengi humu