Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wana nyota ya ukimwi ๐Mzee wa magonjwa mtambuka mpaka magonjwa yasemeee...yani hapo kwako badooo na hilo litapita...๐๐
๐๐๐siku akilivagaa hutamuona hapa tena...atakaa kwa kutulia...muache ajifanye mvumbua papuchi...Kuna watu wana nyota ya ukimwi ๐
Tena ya kuiloweka bila tahadhari ๐Kwahiyo huy jamaa mada zake ni za magonjwa tu!!! ๐๐๐
Mungu amsaidie kwa kweli
Toka ajiunge JF yy mada zake ni kuumwa huko kwenye nyeti zake...Kwahiyo huy jamaa mada zake ni za magonjwa tu!!! ๐๐๐
Mungu amsaidie kwa kweli
Daaah aisee kumbe watu mna fatilia hivoo ๐๐๐๐๐Toka ajiunge JF yy mada zake ni kuumwa huko kwenye nyeti zake...
Mpe ushauri...๐๐๐๐๐ sisi tuna mzoom tuuDaaah aisee kumbe watu mna fatilia hivoo ๐๐๐๐๐
Sasa kama anajua shida ni nini kwann asiitatue kwa kwenda kufanyiwa CASTRATION
Tena ya kuiloweka bila tahadhari ๐
Mpe ushauri...๐๐๐๐๐ sisi tuna mzoom tuu
Uwiii...mwacheni tuu gono itamsaidia kuing'oaMaana huyo atakuwa
ni animal na sio mtu sasa akapigwe na ELASTRATOR akatwe mali
Unajua mnyama siku zote ndo huwa haelewi au hakomi hata kama akiumia , wakati sisi binadamu huwa tunajifunza kutokana na makosa, sasa kama mtu alifanya kosa anarudia tena kufanya kosa zaidi na zaidi,Uwiii...mwacheni tuu gono itamsaidia kuing'oa
๐ ๐คฃ ๐ kwahiyo akauze ashua hizo mkuuLugha ya uandishi wako inaonesha wewe ni wale wanaookota madege yasiyolika baa zikifungwa. Ushauri wangu ni kuwa nenda kwa mchoma ashua muuzie hata kwa bei ya hasara.
Roho mbaya hiiKama hawezi kujizuia aende akafanyiwe CASTRATION chaap
kwa veterinarian
Hamna mkuu kama hajifunzi sasa tufanyaje mkubwa, hapo solution ni kupigwa elastrator kwa veterinarian tu mkuuRoho mbaya hii
Ukute Ngiri imekupata na hujui wahinkituo cha afya kilicho karibu naweWakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nimeshindwa kwenda kazini leo, kikubwa korodani zangu zinauma sana pamoja na sehemu ya kichwa cha mjubelege hapa nimekunywa dawa tangu asubuhi at least saiv ndo nimepata nafuu hata ya kuandika haya.
Niombeeni sana baadae nitaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.
Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
Ukichelewa sana watakufanyia upasuaji kuondoa kichwa kidogo hicho.Wakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nimeshindwa kwenda kazini leo, kikubwa korodani zangu zinauma sana pamoja na sehemu ya kichwa cha mjubelege hapa nimekunywa dawa tangu asubuhi at least saiv ndo nimepata nafuu hata ya kuandika haya.
Niombeeni sana baadae nitaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.
Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam