Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo inawezekana ni gonorrhea ama unapenda kuvaa nguo za ndan ambzo hazijakauka vyema Ina leta fangasiWakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nimeshindwa kwenda kazini leo, kikubwa korodani zangu zinauma sana pamoja na sehemu ya kichwa cha mjubelege hapa nimekunywa dawa tangu asubuhi at least saiv ndo nimepata nafuu hata ya kuandika haya.
Niombeeni sana baadae nitaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.
Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
mkuu nilishapona ilikua mbaga tu ya pisi moja hivi iliniambukizaApo inawezekana ni gonorrhea ama unapenda kuvaa nguo za ndan ambzo hazijakauka vyema Ina leta fangasi
Pole sana au mchwa wameshaingiaWakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nimeshindwa kwenda kazini leo, kikubwa korodani zangu zinauma sana pamoja na sehemu ya kichwa cha mjubelege hapa nimekunywa dawa tangu asubuhi at least saiv ndo nimepata nafuu hata ya kuandika haya.
Niombeeni sana baadae nitaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.
Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
mkuu ahsante ila nilishapona kitamboPole sana au mchwa wameshaingia
Kwahiyo jamaa ni nyumba ya magonjwa?
wakuu nimepona mimiKwahiyo jamaa ni nyumba ya magonjwa?
Inaonekana unamfuatilia sanaMkuu una nyuzi nyingi sana za haya magonjwa 😂😂
Angalia usije kupata lile gonjwa baba lao
😁😁😁 InastaajabishaKwahiyo jamaa ni nyumba ya magonjwa?
Yellow card..2nd yellow led to red card. Abstain if you never heard about condom.Wakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nimeshindwa kwenda kazini leo, kikubwa korodani zangu zinauma sana pamoja na sehemu ya kichwa cha mjubelege hapa nimekunywa dawa tangu asubuhi at least saiv ndo nimepata nafuu hata ya kuandika haya.
Niombeeni sana baadae nitaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.
Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
ni Ex wangu huyoInaonekana unamfuatilia sana
Pole sana mkuu,,,Wakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nimeshindwa kwenda kazini leo, kikubwa korodani zangu zinauma sana pamoja na sehemu ya kichwa cha mjubelege hapa nimekunywa dawa tangu asubuhi at least saiv ndo nimepata nafuu hata ya kuandika haya.
Niombeeni sana baadae nitaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.
Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
Pole sanamkuu nilishapona ilikua mbaga tu ya pisi moja hivi iliniambukiza
Sio kweli 😂😂😂Ukishapata gonorrhoea inabidi upunguze speed, maana unakuwa umekaribia kuufikia Ukimwi.