Naumwa sana korodani, naomba ushauri

Uwiii...mwacheni tuu gono itamsaidia kuing'oa
Unajua mnyama siku zote ndo huwa haelewi au hakomi hata kama akiumia , wakati sisi binadamu huwa tunajifunza kutokana na makosa, sasa kama mtu alifanya kosa anarudia tena kufanya kosa zaidi na zaidi,
Huyo tutamwita "it" badala ya "he"
 
Ukute Ngiri imekupata na hujui wahinkituo cha afya kilicho karibu nawe
 
Ukichelewa sana watakufanyia upasuaji kuondoa kichwa kidogo hicho.

Hakikisha unamaliza dozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…