Naumwa sana naomba mniombee

Unataka kubaki duniani ili uendelee kufanya nini?.......we sepa tu.
 
Ngoja nisubiri hadi jioni ndo ntaamini make mda sio mrefu unaweza kuja na post kwamba uko viwanja na wana unakula bata
 
Jipulizie dawa ya mbu kwny macho yatapona
 
Unaona mambo ya mzaha unaoletaga humu!!! Nimejikuta nacheka masikini!!!

Anyway kama uko serious, nenda hospitali na uanze matibabu. Mungu akulie nguvu na akuponye mkuu.
 
Kufa tu hauna faida kwa jamii na familia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…