Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polee mkuu, unaumwa fungus wapi? Tafuta dawa inaitwa sulphur kwenye maduka au wale wanaouza dawa ya panya,mende,fangas,vibarango.Ndugu zangu naumwa fangasi kwa muda sasa ila pia sehmu ya kichwa cha uume kumekuwa kama na Ile ngozi iliyopo kwenye korodani.
Sasa selewiii tiba ni nini.
Mkuu pole kwa maradhi yako nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.Ndugu zangu naumwa fangasi kwa muda sasa ila pia sehmu ya kichwa cha uume kumekuwa kama na Ile ngozi iliyopo kwenye korodani.
Sasa selewiii tiba ni nini.
habari yakoPolee mkuu
Nzuri dear🤗habari yako
Aseme tujue Kama ni pumb**erosion au ni Nini😆😆😆Tukiwaambia muanike nguo za ndani njee kwenye jua kali zikauke vyema hamsikii, ndo kwanzaaa mnazivundika mafichoni mara kuanikilia bafuni, madhara yake ndo haya
Atashangaa anatembea mara anaokota kete mbili chini, kuziangalia vizuri n korodsni zake.Aseme tujue Kama ni pumb**erosion au ni Nini😆😆😆
Mkuu pole shukuru hapo ulipofikia wahi hospitalini. Usipofanya hivyo gegedo litasinyaa utadhani sponji na utakojoa mkojo kama mlenda haugusi chini una nesanesa hewani.Ndugu zangu naumwa fangasi kwa muda sasa ila pia sehmu ya kichwa cha uume kumekuwa kama na Ile ngozi iliyopo kwenye korodani.
Sasa selewiii tiba ni nini.
Amesema kwenye kichwa cha uumePolee mkuu,unaumwa fungus wapi?
Umeamua kumsemea sio?😆😆Amesema kwenye kichwa cha uume
Mshauri afanyeje mkuu
Ila sirgodi sijui kwanini akuiumbia poumbou ngozi laini yani utadhani ngozi utumbo wa taulo. Sasa piga picha mleta mada yeye hadi juu ya gegedo.Aseme tujue Kama ni pumb**erosion au ni Nini😆😆😆
IMebidi kwa sababu yeye mwenyewe anaogopa anaona aibu😃Umeamua kumsemea sio?😆😆
Amesema ameumwa kwa mda mrefu,ndo nikawaza zimeanzia wapi? Hadi kufika kwenye gegedo😆😆IMebidi kwa sababu yeye mwenyewe anaogopa anaona aibu😃
Ngoja tumuombe picha
Adimu sana lamamaNzuri dear🤗
Nipoo Arif🤗Adimu sana lamama
Ok nmefurahi kukuona tena.Nipoo Arif🤗
Karibu🤗Ok nmefurahi kukuona tena.