Naumwa wakuu, nina fangasi sehemu za Siri

Naumwa wakuu, nina fangasi sehemu za Siri

Kama sio STI, tumia/paka dawa ya mba ile ya majimaji ya kijani.
 
Kuna Malaya kashakufanyia KITU mbaya na Muda huu HUKO alipo anajisifia sana kwa kukukomesha ulivyokua unasugulia kwa nguvu zote HUKU yeye analia haukujua analia nini? Sasa Muda wako wa kulia na kusaga Meno umewadia, tafuta Daktari mbobevu wa magonjwa hayo usijekuta una Saratani ya UUME
 
Ndugu zangu naumwa fangasi kwa muda sasa ila pia sehemu ya kichwa cha uume kumekuwa kama na Ile ngozi iliyopo kwenye korodani.

Sasa selewiii tiba ni nini.
kuna mafuta yanaitwa PARACHUTI mafuta ya nazi nunua yale jipake kila baada ya kuoga na kujikausha vizuri . paka asubuhi na jioni
 
Back
Top Bottom