Uchaguzi 2020 Naunga mkono aliyoyazungumza Lissu kwenye “ufunguzi wa kampeni” mengi aliyoyasema hatukuyafahamu. Nashauri afanye hivyo kila mkutano

Good point.
 
Siyo hotuba yote. Halafu kwa kawaida, hotuba inakuwaga ile ile tu. Tofauti kidogo ina kuwepo pale ambapo anazungumzia kuhusu uchumi wa eneo analopiga kampeni. Lakini hotuba inatakiwa iwe ile ile kwa uzoefu wangu.
 
Kumbe ndio maana hampati watu kuja kusikiliza sera zenu kumbe mnachoongea ndio hiki. Afadhali mnarahisisha uchaguzi kwa wapinzani wenu maana mnajipiga risasi nyie wenyewe..
We unaishi wapi? Hawajapata watu wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…