Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mchunga ng'ombe hajui kujenga hoja hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good point.Majina hayo yanadhihirisha waislamu wana mchango mkubwa katika historia ya Lissu. Mambo hayo yanampa mtu mmoja kiwewe hadi anaamua kuendesha mchango wa ujenzi wa msikiti akiwa kanisani!!
Mfumo wa kisiasa wa nchi hii umekuwa designed makusudi kuhakikisha wapinzani hawawezi kuwaunganisha waislamu na wakristo katika chaguzi kuu.
Siyo hotuba yote. Halafu kwa kawaida, hotuba inakuwaga ile ile tu. Tofauti kidogo ina kuwepo pale ambapo anazungumzia kuhusu uchumi wa eneo analopiga kampeni. Lakini hotuba inatakiwa iwe ile ile kwa uzoefu wangu.Kazi anayo kubwa aisee kama ataamua kiwa mwl wa uraia
Maana kila anakopita lazima amwage notes kwa wananchi huku wenzake wakichanja mbuga kumwaga sera zaoo hahahaaa
Ualimu sio kazi nyepesi mjue, hadi wakuelewe watu ushapoteza muda mwingi wa kumwaga sera haahaaaa,
Lisu inabidi aachane na Uraisi ili aitumikie nafasi ya ualimu vyema aisee