darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Tunaandaa kizazi kipya cha machawa na sio viongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu marais au viongozi kwa ujumla hawaandaliwi kwa kuingia kwenye chipukizi. Chipukizi ilikuwa na njia ya wakomunisti kuanza kuwa-brainwash wananchi tangu wakiwa wadogo. Njia sahihi ya kuandaa viongozi ni watoto kupata makuzi na elimu bora, kuwa na mfumo mzuri wa uongozi wa nchi na viongozi kuwa na maadili mazuri.Fafanua,
Ukiondoa WIVU na mkumbo, wanapinga chipukizi hawana HOJA.
Sisi tunaandaa Marais wajao, mawaziri, walimu wajao tangu wakiwa watoto.
Katika masuala yanayogusa USTAWI wa nchi, Rabbon Huwa nimenyooka kama rula!!
Upuuzi mtupu tuonyeshe faida zinazoonekana,Salaam, Shalom!!!
I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.
Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa. Likewise wanasiasa wa Kuzaliwa wasizuiwe.
Katika umri wa kuanzia miaka 4 Hadi mitano, tayari unaweza jua mtoto uliyenaye darasani au nyumbani ana kipaji Gani. KAZI inayobaki ni kukipalilia kipaji na kukiwekea mbolea kikue na kuleta matunda.
Footbollers wanapatikana wakiwa katika umri mdogo kabisa kuanzia miaka 4 na kuendelea, waimbaji,waombaji, engineers, drivers, wachoraji nk nk wanajulikana katika umri mdogo.
Kwakuwa Tanzania kama nchi Ina miaka mingi ijayo, ni muhimu viongozi waandaliwe wakiwa WADOGO kabisa.
Nimefurahi kuona ujasiri wa kujieleza wa mtoto wa Msanii Shetta, hicho ni kipaji, alelewe na atatufaa sana baadaye.
Wakubwa pia Huwa wanakosea, haikuwa sahihi kuzuia chipukizi katika vyama, makazini, katika kwaya, na sekta mbalimbali Kwa kigezo Cha shule.
Watoto wasome, lakini vipaji vyao viendelezwe na kupewa nafasi mapema kuanza kuongoza.
Rabbon tayari ninao walimu watakaokuja kushika nafasi zetu tutakapopumzika, na ni watoto. Wahubiri wazuri tayari wanakuzwa, wapo mashuleni lakini wanajitambua ni akina nani, wapo mashemasi wa watoto kuanzia miaka 8 na kuendelea, wanasoma, lakini siku ya IBADA wanashika zamu zao.
Utaratibu mzuri uwekwe kuwapokea Chipukizi katika kada mbalimbali.
Vyama vingine pia vichangamkie fursa mapema.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen
Kwahiyo watoto wote watarusha satellite?Upuuzi mtupu tuonyeshe faida zinazoonekana,
badala tutengenezee watoto mitaala mizuri Ili 2040 tuwe na wataalamu wa kurusha satellite
We Unawaza uchipkizi - ujinga ttu
Una uelewa finyi soma Tena nilichokuandikiaKwahiyo watoto wote watarusha satellite?
Ndomana sisi walimu wa Imani lazima tutoke mbele kupongeza,Nashangaa wanaopinga chipukizi wa CCM ila wanaunga mkono
1. Madrasa
2. Mafundisho kanisani
3. Sunday school
Ukiangalia ideologies za hayo yote juu yanaendana 100%. Wote wanam-brainwash mtoto na kumwaminisha imani ya upande mmoja.
Hao chipukizi ndio watesi wa wapinzani baadaye.
Ni sawa tu na hao wa madrasa na sunday school huwezi waaminisha dini yao ina mapungufu wataona ina haki kuliko zingine.
Hakuna Mahali nimepinga watoto wasipewe Elimu Bora,Una uelewa finyi soma Tena nilichokuandikia
Uko sahihi,Mkuu marais au viongozi kwa ujumla hawaandaliwi kwa kuingia kwenye chipukizi. Chipukizi ilikuwa na njia ya wakomunisti kuanza kuwa-brainwash wananchi tangu wakiwa wadogo. Njia sahihi ya kuandaa viongozi ni watoto kupata makuzi na elimu bora, kuwa na mfumo mzuri wa uongozi wa nchi na viongozi kuwa na maadili mazuri.