Kwani pesa za mchango zinaingia ktk account yake? Inaingizwa pesa ktk account maalum na inakua na msimamizi kabisa sio hao kina magori...
Pia woga ndio adui mkuu wa watanzania... kama wewe jamaa papason
piga ua magori atakuwa signatory wa hiyo 'account maluum', na mwisho wa siku the same kama kama ilivyo tokea kwa akina aveva mnalizwa tena, kweli makolo ni ma mbumbu fc
Tukitenga 50bil uwanja unajengwa
Muhimu tu wanachama wajulikane, ada ya uwanja iwepo.
Au zile hisa 51% ndo zitumike jenga uwanja na mwenye hizo hisa ndi amiliki uwanja.