LGE2024 Naunga Mkono Serikali kuongeza majina (Kama kweli hilo limefanyika) kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Naunga Mkono Serikali kuongeza majina (Kama kweli hilo limefanyika) kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Bado wewe ni mbuluchamba akili za darasa la pili subiri kidogo ukue utaweza kujua nini unachoandika.
Kati ya mimi na wewe unayegoma kujiandikisha nani anatakiwa kusubiri kukua? Nafikiri wanaoshindwa kujiandikisha ndo wanapaswa zaidi kusubiri kukua mana huo ni utoto na ujinga.
 
Haijaongeza
Mimi ninakoishi wana CCM wote na familia na ndugu wansishi nao wote waliofikisha miaka 18 wamejiandikisha
Saaafi sana, kunyweni beer creti bill talipa, kama walokole kunyweni soda creti 2 talipa, mnajitqmbua sana
 
Tuna safari ndefu ya kwenda kama taifa kama mawazo/fikra zenyewe ndo hizi.
Wanaosusia uchaguzi ndo wanarefusha safari Mkuu, tukijiandikisha kwa wingi wagombea watatuheshimu. Mfano mgombea anakuja kupiga kura wakati anajua waliojiandikisha ni 10 na majina feki ni 500 unafikiri atawehishimu hicho kijiji au Kata au Mtaa?
 
Kwa hiyo usipojiandikisha ndo haki itapatikana?
Watu hawajiandikishi Kwa sababu ya kukosekana haki kwenye kura.mgombea anashinda mwingine anayetangazwa kushindwa ni mwingine Sasa kunahaja Gani Sasa ya kujiandikisha kupiga kula?
 
Nijiandikishe ili kuwafurahisha majizi ya kura. Hapo tumetuma ujumbe bila chenga kuwa hatuwataki. Kama mlitegemea tutaendelea kutokea kwenye mistari ya kura wakati tumewachoka basi mjue hatuwataki. Na sio uchaguzi huu tu, hata huo mkuu bado tutaendelea kutokujitokeza ili kuwadhibitishia kuwa hatuwataki.
Kwa hiyo usipojiandikisha ndo unakua umewakomoa? Ujumbe gani sasa unatuma hapo wakati unaweza kuta mtaa unaokaa tayari una majina mengi kuliko hata idadi yenu ya wakazi wa mtaa kwa sababu ham hamkujiandikisha, na mtachaguliwa viongozi na ghost
 
Kuna umhimu upi kama kura za kwenye sanduku hazihesabiwi kumtambua mshindi halali?

Jibu swali halafu nikujibu sawali lako sasa
Kura hazihesabiwi kutokana na uchache wa mawakala wa vyama vingine ndo mana tunabaki tu kulalamika bila hata ushahidi wa kutosha, mfano kipindi hiki zaidi ya vituo asilimia 70% havikuwa na mawakala wa vyama vingine zaidi ya CCM
 
Kwa hiyo usipojiandikisha ndo unakua umewakomoa? Ujumbe gani sasa unatuma hapo wakati unaweza kuta mtaa unaokaa tayari una majina mengi kuliko hata idadi yenu ya wakazi wa mtaa kwa sababu ham hamkujiandikisha, na mtachaguliwa viongozi na ghost
Yaani sina matatizo na idadi ya majina, wakitaka wachukue hata watoto wanaonyonya wapige kura, lakini ujumbe kuwa hatuwataki umefika. Na hatua itakayofuata ni machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili heshima ya box irejee. Lakini hizi chaguzi ambazo ccm ni refarii na mchezaji hapo hapo hatuna muda huo.
 
Ndugu zangu Watanzania,
Unajua sio kila jambo ni la kulalamika, serikali zote Duniani zinahitaji uungwaji mkono na kukubalika kwa wananchi wake mbele ya mataifa mengine. Sasa kwa sisi Tanzania tumejijengea kautaribu ka kulalamika kila siku bila kutimiza wajibu wetu kisheria na kikatiba.

Leo taongelea zaidi swala la kujiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa seeikali za mitaa, asilimia yetu kubwa hatujajiandikisha kwa makusudi tu tena bila hata sababu yoyote ya msingi, na wengine waandikishaji walikua mbele ya nyumba zao lakini walishindwa kujiandikisha bila sababu yoyote.

Kwa uelewa wangu, moja ya vitu vinavyochangia maendeleo na ustawi wa uchumi ni pamoja na chaguzi zinapoenesha raia wengi kushiriki katika hizo chaguzi, hiyo inavutia mataifa mengi na wawekezaji, sasa kwa serikali yoyote ile yenye nia ya kuleta maendeleo ya kweli ni lazima itahakikisha hii taswira haipotei mbele ya uso wa Dunia.

Hivyo kama ni kweli serikali imeongeza majina hewa ili kufanya idadi iwe kubwa, mimi naunga mkono huo mpango kwa asilimia 💯 mana una nia njema kwa ajili ya maendeleo yetu na kujenga imani kimataifa.

Kama sisi wenyewe hatutaki kujiandikisha bila sababu yoyote ya msingi, tunailaumu vipi serikali kuongeza watu? Kuna wajinga watasema sababu ni uchaguzi kutokua wa haki, tuongee ukweli, Tanzania kuna chama chochote cha siasa chenye miundombinu na rasilimali watu wa kuongoza nchi?

Mfano majimbo mengi ya uchaguzi vyama vingine vimekosa hata wagombea, sasa chama kinachokosa hata wagombea kitawezaje kuongoza nchi?
Bu........shit
 
Wanaosusia uchaguzi ndo wanarefusha safari Mkuu, tukijiandikisha kwa wingi wagombea watatuheshimu. Mfano mgombea anakuja kupiga kura wakati anajua waliojiandikisha ni 10 na majina feki ni 500 unafikiri atawehishimu hicho kijiji au Kata au Mtaa?
Sio kweli mkuu.

Kuongeza majina feki ni ishara tosha kuwa uongozi unaotawala unameshindwa kutimiza matakwa ya wananchi. Wananchi wamekata tamaa.

Viongozi hawawaeshimu wananchi kwasababu wananchi hawana nguvu ya kikatiba ya kuwawajibisha na si kwasababu ya uchache wa kura wanazopata kipindi cha uchaguzi.

Kwahiyo ata kama wangekuwa wamejiandikisha watu kumi tu kwenye mtaa na hao ndo wakampigia kura, ataendelea kuwatumikia/kuwaheshimu wananchi wote wa mtaa kwa sababu wanayo nguvu kikatiba kumwajibisha.

Katiba yetu haimpi mamlaka mwananchi juu ya viongozi wao. Kwahiyo hakuna kiongozi anayehofu wananchi wake.
 
Ndugu zangu Watanzania,
Unajua sio kila jambo ni la kulalamika, serikali zote Duniani zinahitaji uungwaji mkono na kukubalika kwa wananchi wake mbele ya mataifa mengine. Sasa kwa sisi Tanzania tumejijengea kautaribu ka kulalamika kila siku bila kutimiza wajibu wetu kisheria na kikatiba.

Leo taongelea zaidi swala la kujiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa seeikali za mitaa, asilimia yetu kubwa hatujajiandikisha kwa makusudi tu tena bila hata sababu yoyote ya msingi, na wengine waandikishaji walikua mbele ya nyumba zao lakini walishindwa kujiandikisha bila sababu yoyote.

Kwa uelewa wangu, moja ya vitu vinavyochangia maendeleo na ustawi wa uchumi ni pamoja na chaguzi zinapoenesha raia wengi kushiriki katika hizo chaguzi, hiyo inavutia mataifa mengi na wawekezaji, sasa kwa serikali yoyote ile yenye nia ya kuleta maendeleo ya kweli ni lazima itahakikisha hii taswira haipotei mbele ya uso wa Dunia.

Hivyo kama ni kweli serikali imeongeza majina hewa ili kufanya idadi iwe kubwa, mimi naunga mkono huo mpango kwa asilimia 💯 mana una nia njema kwa ajili ya maendeleo yetu na kujenga imani kimataifa.

Kama sisi wenyewe hatutaki kujiandikisha bila sababu yoyote ya msingi, tunailaumu vipi serikali kuongeza watu? Kuna wajinga watasema sababu ni uchaguzi kutokua wa haki, tuongee ukweli, Tanzania kuna chama chochote cha siasa chenye miundombinu na rasilimali watu wa kuongoza nchi?

Mfano majimbo mengi ya uchaguzi vyama vingine vimekosa hata wagombea, sasa chama kinachokosa hata wagombea kitawezaje kuongoza nchi?
Mambo yanabadilika sana, zama zile ni tofauti sana na nyakati za leo. Tafakari kuhusu chaguzi za 2019 na 2020, jibu sahihi atakalopata ndiyo chanzo cha mdororo katika uandikishaji.... "Maumivu ya mtu aliyekunywa sumu hapaswi kulia ilhali sumu alikunywa kwa hiari yake".
 
Ndugu zangu Watanzania,
Unajua sio kila jambo ni la kulalamika, serikali zote Duniani zinahitaji uungwaji mkono na kukubalika kwa wananchi wake mbele ya mataifa mengine. Sasa kwa sisi Tanzania tumejijengea kautaribu ka kulalamika kila siku bila kutimiza wajibu wetu kisheria na kikatiba.

Leo taongelea zaidi swala la kujiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa seeikali za mitaa, asilimia yetu kubwa hatujajiandikisha kwa makusudi tu tena bila hata sababu yoyote ya msingi, na wengine waandikishaji walikua mbele ya nyumba zao lakini walishindwa kujiandikisha bila sababu yoyote.

Kwa uelewa wangu, moja ya vitu vinavyochangia maendeleo na ustawi wa uchumi ni pamoja na chaguzi zinapoenesha raia wengi kushiriki katika hizo chaguzi, hiyo inavutia mataifa mengi na wawekezaji, sasa kwa serikali yoyote ile yenye nia ya kuleta maendeleo ya kweli ni lazima itahakikisha hii taswira haipotei mbele ya uso wa Dunia.

Hivyo kama ni kweli serikali imeongeza majina hewa ili kufanya idadi iwe kubwa, mimi naunga mkono huo mpango kwa asilimia 💯 mana una nia njema kwa ajili ya maendeleo yetu na kujenga imani kimataifa.

Kama sisi wenyewe hatutaki kujiandikisha bila sababu yoyote ya msingi, tunailaumu vipi serikali kuongeza watu? Kuna wajinga watasema sababu ni uchaguzi kutokua wa haki, tuongee ukweli, Tanzania kuna chama chochote cha siasa chenye miundombinu na rasilimali watu wa kuongoza nchi?

Mfano majimbo mengi ya uchaguzi vyama vingine vimekosa hata wagombea, sasa chama kinachokosa hata wagombea kitawezaje kuongoza nchi?
Unakielewa ulichokiandika au bado upo mtungi tu?
 
Back
Top Bottom