kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
- Thread starter
-
- #21
Sasa usipojiandikisha ndo unakua umewazuia kuiba kura?Jibu swali langu kabla hujaniuliza sijajiandikishia maana sababu nimetoa kuwa Kwa sababu nape alituambia Huwa wanaiba kura na hawategemei kwenye sanduku kupata mshindi.
Kati ya mimi na wewe unayegoma kujiandikisha nani anatakiwa kusubiri kukua? Nafikiri wanaoshindwa kujiandikisha ndo wanapaswa zaidi kusubiri kukua mana huo ni utoto na ujinga.Bado wewe ni mbuluchamba akili za darasa la pili subiri kidogo ukue utaweza kujua nini unachoandika.
Kwahiyo Nape ndo amefanya ususie uchaguzi? Grow up kijanaMwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa! Nape ni mhuni na mkora! Bumunda lile!
Wewe ni Mpumbavu.
Saaafi sana, kunyweni beer creti bill talipa, kama walokole kunyweni soda creti 2 talipa, mnajitqmbua sanaHaijaongeza
Mimi ninakoishi wana CCM wote na familia na ndugu wansishi nao wote waliofikisha miaka 18 wamejiandikisha
Wanaosusia uchaguzi ndo wanarefusha safari Mkuu, tukijiandikisha kwa wingi wagombea watatuheshimu. Mfano mgombea anakuja kupiga kura wakati anajua waliojiandikisha ni 10 na majina feki ni 500 unafikiri atawehishimu hicho kijiji au Kata au Mtaa?Tuna safari ndefu ya kwenda kama taifa kama mawazo/fikra zenyewe ndo hizi.
Watu hawajiandikishi Kwa sababu ya kukosekana haki kwenye kura.mgombea anashinda mwingine anayetangazwa kushindwa ni mwingine Sasa kunahaja Gani Sasa ya kujiandikisha kupiga kula?
Kwa hiyo usipojiandikisha ndo unakua umewakomoa? Ujumbe gani sasa unatuma hapo wakati unaweza kuta mtaa unaokaa tayari una majina mengi kuliko hata idadi yenu ya wakazi wa mtaa kwa sababu ham hamkujiandikisha, na mtachaguliwa viongozi na ghostNijiandikishe ili kuwafurahisha majizi ya kura. Hapo tumetuma ujumbe bila chenga kuwa hatuwataki. Kama mlitegemea tutaendelea kutokea kwenye mistari ya kura wakati tumewachoka basi mjue hatuwataki. Na sio uchaguzi huu tu, hata huo mkuu bado tutaendelea kutokujitokeza ili kuwadhibitishia kuwa hatuwataki.
Kuna umhimu upi kama kura za kwenye sanduku hazihesabiwi kumtambua mshindi halali?Sasa usipojiandikisha ndo unakua umewazuia kuiba kura?
Kura hazihesabiwi kutokana na uchache wa mawakala wa vyama vingine ndo mana tunabaki tu kulalamika bila hata ushahidi wa kutosha, mfano kipindi hiki zaidi ya vituo asilimia 70% havikuwa na mawakala wa vyama vingine zaidi ya CCMKuna umhimu upi kama kura za kwenye sanduku hazihesabiwi kumtambua mshindi halali?
Jibu swali halafu nikujibu sawali lako sasa
Kwa hiyo ccm wakiendelea kuiba kura ndiyo haki inakuwepo?Kwa hiyo usipojiandikisha ndo haki itapatikana?
Yaani sina matatizo na idadi ya majina, wakitaka wachukue hata watoto wanaonyonya wapige kura, lakini ujumbe kuwa hatuwataki umefika. Na hatua itakayofuata ni machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili heshima ya box irejee. Lakini hizi chaguzi ambazo ccm ni refarii na mchezaji hapo hapo hatuna muda huo.Kwa hiyo usipojiandikisha ndo unakua umewakomoa? Ujumbe gani sasa unatuma hapo wakati unaweza kuta mtaa unaokaa tayari una majina mengi kuliko hata idadi yenu ya wakazi wa mtaa kwa sababu ham hamkujiandikisha, na mtachaguliwa viongozi na ghost
Bu........shitNdugu zangu Watanzania,
Unajua sio kila jambo ni la kulalamika, serikali zote Duniani zinahitaji uungwaji mkono na kukubalika kwa wananchi wake mbele ya mataifa mengine. Sasa kwa sisi Tanzania tumejijengea kautaribu ka kulalamika kila siku bila kutimiza wajibu wetu kisheria na kikatiba.
Leo taongelea zaidi swala la kujiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa seeikali za mitaa, asilimia yetu kubwa hatujajiandikisha kwa makusudi tu tena bila hata sababu yoyote ya msingi, na wengine waandikishaji walikua mbele ya nyumba zao lakini walishindwa kujiandikisha bila sababu yoyote.
Kwa uelewa wangu, moja ya vitu vinavyochangia maendeleo na ustawi wa uchumi ni pamoja na chaguzi zinapoenesha raia wengi kushiriki katika hizo chaguzi, hiyo inavutia mataifa mengi na wawekezaji, sasa kwa serikali yoyote ile yenye nia ya kuleta maendeleo ya kweli ni lazima itahakikisha hii taswira haipotei mbele ya uso wa Dunia.
Hivyo kama ni kweli serikali imeongeza majina hewa ili kufanya idadi iwe kubwa, mimi naunga mkono huo mpango kwa asilimia 💯 mana una nia njema kwa ajili ya maendeleo yetu na kujenga imani kimataifa.
Kama sisi wenyewe hatutaki kujiandikisha bila sababu yoyote ya msingi, tunailaumu vipi serikali kuongeza watu? Kuna wajinga watasema sababu ni uchaguzi kutokua wa haki, tuongee ukweli, Tanzania kuna chama chochote cha siasa chenye miundombinu na rasilimali watu wa kuongoza nchi?
Mfano majimbo mengi ya uchaguzi vyama vingine vimekosa hata wagombea, sasa chama kinachokosa hata wagombea kitawezaje kuongoza nchi?
Sio kweli mkuu.Wanaosusia uchaguzi ndo wanarefusha safari Mkuu, tukijiandikisha kwa wingi wagombea watatuheshimu. Mfano mgombea anakuja kupiga kura wakati anajua waliojiandikisha ni 10 na majina feki ni 500 unafikiri atawehishimu hicho kijiji au Kata au Mtaa?
Mambo yanabadilika sana, zama zile ni tofauti sana na nyakati za leo. Tafakari kuhusu chaguzi za 2019 na 2020, jibu sahihi atakalopata ndiyo chanzo cha mdororo katika uandikishaji.... "Maumivu ya mtu aliyekunywa sumu hapaswi kulia ilhali sumu alikunywa kwa hiari yake".Ndugu zangu Watanzania,
Unajua sio kila jambo ni la kulalamika, serikali zote Duniani zinahitaji uungwaji mkono na kukubalika kwa wananchi wake mbele ya mataifa mengine. Sasa kwa sisi Tanzania tumejijengea kautaribu ka kulalamika kila siku bila kutimiza wajibu wetu kisheria na kikatiba.
Leo taongelea zaidi swala la kujiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa seeikali za mitaa, asilimia yetu kubwa hatujajiandikisha kwa makusudi tu tena bila hata sababu yoyote ya msingi, na wengine waandikishaji walikua mbele ya nyumba zao lakini walishindwa kujiandikisha bila sababu yoyote.
Kwa uelewa wangu, moja ya vitu vinavyochangia maendeleo na ustawi wa uchumi ni pamoja na chaguzi zinapoenesha raia wengi kushiriki katika hizo chaguzi, hiyo inavutia mataifa mengi na wawekezaji, sasa kwa serikali yoyote ile yenye nia ya kuleta maendeleo ya kweli ni lazima itahakikisha hii taswira haipotei mbele ya uso wa Dunia.
Hivyo kama ni kweli serikali imeongeza majina hewa ili kufanya idadi iwe kubwa, mimi naunga mkono huo mpango kwa asilimia 💯 mana una nia njema kwa ajili ya maendeleo yetu na kujenga imani kimataifa.
Kama sisi wenyewe hatutaki kujiandikisha bila sababu yoyote ya msingi, tunailaumu vipi serikali kuongeza watu? Kuna wajinga watasema sababu ni uchaguzi kutokua wa haki, tuongee ukweli, Tanzania kuna chama chochote cha siasa chenye miundombinu na rasilimali watu wa kuongoza nchi?
Mfano majimbo mengi ya uchaguzi vyama vingine vimekosa hata wagombea, sasa chama kinachokosa hata wagombea kitawezaje kuongoza nchi?
Unakielewa ulichokiandika au bado upo mtungi tu?Ndugu zangu Watanzania,
Unajua sio kila jambo ni la kulalamika, serikali zote Duniani zinahitaji uungwaji mkono na kukubalika kwa wananchi wake mbele ya mataifa mengine. Sasa kwa sisi Tanzania tumejijengea kautaribu ka kulalamika kila siku bila kutimiza wajibu wetu kisheria na kikatiba.
Leo taongelea zaidi swala la kujiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa seeikali za mitaa, asilimia yetu kubwa hatujajiandikisha kwa makusudi tu tena bila hata sababu yoyote ya msingi, na wengine waandikishaji walikua mbele ya nyumba zao lakini walishindwa kujiandikisha bila sababu yoyote.
Kwa uelewa wangu, moja ya vitu vinavyochangia maendeleo na ustawi wa uchumi ni pamoja na chaguzi zinapoenesha raia wengi kushiriki katika hizo chaguzi, hiyo inavutia mataifa mengi na wawekezaji, sasa kwa serikali yoyote ile yenye nia ya kuleta maendeleo ya kweli ni lazima itahakikisha hii taswira haipotei mbele ya uso wa Dunia.
Hivyo kama ni kweli serikali imeongeza majina hewa ili kufanya idadi iwe kubwa, mimi naunga mkono huo mpango kwa asilimia 💯 mana una nia njema kwa ajili ya maendeleo yetu na kujenga imani kimataifa.
Kama sisi wenyewe hatutaki kujiandikisha bila sababu yoyote ya msingi, tunailaumu vipi serikali kuongeza watu? Kuna wajinga watasema sababu ni uchaguzi kutokua wa haki, tuongee ukweli, Tanzania kuna chama chochote cha siasa chenye miundombinu na rasilimali watu wa kuongoza nchi?
Mfano majimbo mengi ya uchaguzi vyama vingine vimekosa hata wagombea, sasa chama kinachokosa hata wagombea kitawezaje kuongoza nchi?