Huu wangalau ndio uandishi unaoweza kukuacha salama awamu hii. Lakini kitendo cha kufunguka mazima yakikukuta ya Lissu usilie. Bigup Paskali kwa uandishi huu kwani kunguru mwoga .....
Hapo unaalika kushtakiwa kijinai tu.Kama aliharibu tengeneza alipoharibu, kunya ovyo utasababisha mlipuko wa kipindupindu buree!Nikibahatika kupita safari ya Chato, nitakunya juu ya kaburi lake. Yule mtu mbaya sana alitaka kuifuta nchi yetu. Mungu katuondolea
Niko tayari kulipa faini ya kuchafua mazingira, lakini huyu HAYAWANI hatutampumzisha mpaka huko AHERA tunaendelea kumdhibitiHapo unaalika kushtakiwa kijinai tu.Kama aliharibu tengeneza alipoharibu, kunya ovyo utasababisha mlipuko wa kipindupindu buree!
Isitoshe yeye kashajifia hata hatajua umekunya, utatuachia makimba sie tulio hai tu ambao hatujakukosea kitu.
!Huu wangalau ndio uandishi unaoweza kukuacha salama awamu hii. Lakini kitendo cha kufunguka mazima yakikukuta ya Lissu usilie. Bigup Paskali kwa uandishi huu kwani kunguru mwoga .....
Kipindi hiki alikuwa hana ndoto za uteuzi! Hivyo alikuwa anaandika madini tupu. Mzee mzima alianza kukengeuka na kuingiwa na tamaa kali ya uteuzi miezi ya April 2020!Kuna muda P. Mayalla akili zake zinafyatukaga[emoji38][emoji38]
Man of principle...Why mtu akane andiko lake?. Not me!.
P
Kuandika kwako kiujanja huchoki? Leo umechemka yaani umeonyesha huna hata fikra za kufikiria nje ya box... hata kufanya karisechi huwezi fikiria..unambeza tu..
Yaani na wewe ni kuwashwa washwa. nilitegemea utaongelea hata juu ya wananchi wa maeneo ya huko.. na jinsi watakavyofaidika katika mengi.. kuliko sasa wanavyotumia masaa mengi kufikia uwanja wa ndege wa karibu.
Leo umechemka na wewe umekuwa mdaku mwenye wivu ulivyombeza Mkulu tena.
Pole yako kumbe hauna maujuzi kabisa zaidi ya udaku.. ngoja nikuchekeeee ha ha haaaaa
Huyo kashajifia zake wewe deal na wanaoishi, huko ahera unakokusema ulishawahi kufika au kuongea na mtu aliyefika akakuhakikishia kupo kweli?Niko kulipa faini ya kuchafua mazingira, lakini huyu HAYAWANI jatuyampumzisha mpaka huko AHERA yunaendelea kumdhibiti
Sio busara kumuita mtu hayawani!. Heshima kitu cha bure.Niko tayari kulipa faini ya kuchafua mazingira, lakini huyu HAYAWANI hatutampumzisha mpaka huko AHERA tunaendelea kumdhibiti
Kwa binadamu kumuita kima, sio heshima.Kuna watu na marehemu wa kuwaheshimu lakini siyo huyu kima
Kwa binadamu kumuita kima, sio heshima.
P
Una uhakika ni yeye?.Unaanzaje kumheshimu mtu mwenye mdomo mchafu kama Magufuli, mtu anayebagua Watanzania kikabila na kikanda. Mtu anayeamuru mbunge apigwe risasi mchana ni kima tu
Hata wewe mwenyewe Pascal Mayalla inajuwa intrinsically ni nani alimshambulia Tundu Lissu mwaka 2017Una uhakika ni yeye?.
PTuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari Azory Gwanda, kuibuliwa kwa miili yenye majeraha kwenye viroba, au vitendo vingine vyovyote vya...www.jamiiforums.com