Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Huu wangalau ndio uandishi unaoweza kukuacha salama awamu hii. Lakini kitendo cha kufunguka mazima yakikukuta ya Lissu usilie. Bigup Paskali kwa uandishi huu kwani kunguru mwoga .....

Pascal hapa uliitumia vyema fasihi andishi...kwanini umetumia miji ya mobutu Kama mfano?
Mji huu umetelekezwa kwa Sasa.
Je Chato after death of his beloved EX-MP utatelekezwa?
 
Nikibahatika kupita safari ya Chato, nitakunya juu ya kaburi lake. Yule mtu mbaya sana alitaka kuifuta nchi yetu. Mungu katuondolea
Hapo unaalika kushtakiwa kijinai tu.Kama aliharibu tengeneza alipoharibu, kunya ovyo utasababisha mlipuko wa kipindupindu buree!

Isitoshe yeye kashajifia hata hatajua umekunya, utatuachia makimba sie tulio hai tu ambao hatujakukosea kitu.
 
Hapo unaalika kushtakiwa kijinai tu.Kama aliharibu tengeneza alipoharibu, kunya ovyo utasababisha mlipuko wa kipindupindu buree!

Isitoshe yeye kashajifia hata hatajua umekunya, utatuachia makimba sie tulio hai tu ambao hatujakukosea kitu.
Niko tayari kulipa faini ya kuchafua mazingira, lakini huyu HAYAWANI hatutampumzisha mpaka huko AHERA tunaendelea kumdhibiti
 
Kuna muda P. Mayalla akili zake zinafyatukaga[emoji38][emoji38]
Kipindi hiki alikuwa hana ndoto za uteuzi! Hivyo alikuwa anaandika madini tupu. Mzee mzima alianza kukengeuka na kuingiwa na tamaa kali ya uteuzi miezi ya April 2020!

Ghafla tukasikia amepata kura 1 kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani kule Kawe! Baada ya hapo, Mwandishi wetu nguli nchini, alipitia kipindi kigumu sana kwa mtazamo wangu. Alifikia hatua mpaka ya kumpigia kampeni eti yule msanii gwajiboy! Kisa tu baada ya uchaguzi apewe uteuzi! Mwisho wa siku akaishia tu kufedheheka!

Ila nimefarijika walau kwa sasa ameanza kurudi kidogo kidogo katika ule ubora wake wa awali baada tu ya kifo cha mzee.
 
Hahaaaaa
Kuandika kwako kiujanja huchoki? Leo umechemka yaani umeonyesha huna hata fikra za kufikiria nje ya box... hata kufanya karisechi huwezi fikiria..unambeza tu..

Yaani na wewe ni kuwashwa washwa. nilitegemea utaongelea hata juu ya wananchi wa maeneo ya huko.. na jinsi watakavyofaidika katika mengi.. kuliko sasa wanavyotumia masaa mengi kufikia uwanja wa ndege wa karibu.

Leo umechemka na wewe umekuwa mdaku mwenye wivu ulivyombeza Mkulu tena.

Pole yako kumbe hauna maujuzi kabisa zaidi ya udaku.. ngoja nikuchekeeee ha ha haaaaa
 
Niko kulipa faini ya kuchafua mazingira, lakini huyu HAYAWANI jatuyampumzisha mpaka huko AHERA yunaendelea kumdhibiti
Huyo kashajifia zake wewe deal na wanaoishi, huko ahera unakokusema ulishawahi kufika au kuongea na mtu aliyefika akakuhakikishia kupo kweli?
 
Niko tayari kulipa faini ya kuchafua mazingira, lakini huyu HAYAWANI hatutampumzisha mpaka huko AHERA tunaendelea kumdhibiti
Sio busara kumuita mtu hayawani!. Heshima kitu cha bure.
P
 
Unaanzaje kumheshimu mtu mwenye mdomo mchafu kama Magufuli, mtu anayebagua Watanzania kikabila na kikanda. Mtu anayeamuru mbunge apigwe risasi mchana ni kima tu
Una uhakika ni yeye?.
P
 
Una uhakika ni yeye?.
P
Hata wewe mwenyewe Pascal Mayalla inajuwa intrinsically ni nani alimshambulia Tundu Lissu mwaka 2017
 
Back
Top Bottom