Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Chato kuna utalii wa aina nyingi sana. Enzi hizi kutakua kunaishi aliyeingia Magogoni kwa Push ups, ikumbukwe Chato ndiye sehemu pekee duniani ambapo Mikokoteni ya Punda na wapanda baiskeli wamefungiwa mataa ya barabarani. Imagine Punda anaongozwa na mataa.
Pia Chato ndiye eneo ambalo linaingeza kwa mikakati ya kujitenga. Ilijitenga kutoka Biharamuro, kipindi hicho ikiwa jimbo tu la uchaguzi, ikajiunga na Mwanza , halafu Chato hiyo hiyo ikiwa kwenye hadhi ya jimbo tu, ikaanzisha mchakato mwingine wa Kujitenga kutoka Mwanza, napo ikafanikiwa na kyzaliwa mkoa wa Geita na Chato ikafanikiwa kuwa Wilaya. Sasa hivi ni Chato Product inayoivuruga vuruga nchi, huku ikiiyumbisha na huku ikiipiga gamzi kwenye mambo muhimu. Who knows the next Chato move? Labda itaji mobilise na kujiondoa kutoka Geita, itaimeza Biharamuro na baadhi ya maeneo ya Kagera na Geita na kutengeneza mkoa mpya wa Chato. What next? Itaanzisha movement, Chato itakua eneo la kimkakati la kudhoofisha usalama na Diplomasia ya nchi ili Chato ambayo kwa umakini wa hali ya juu itakua imepandikiza watu wake sehemu mbali ianze harakati za kujimega kutoka Tanzania na either kujiunga na upande mwingine au kusimika himaya yake yenyewe. Msiidharau Chato. Rwanda waliyapuuza mambo haya wakayachukulia poa. Sasa hivi harakati za kusimika na kusambaza utawala wa Bahima umepamba moto kila kona.
Ni swala la wakati tu na ili hili lifanikiwe, mkoa wa Kagera utaendelea kudumazwa kwa kila kitu ili Chato kwa kutumia miundo mbinu na huduma kadhaa iwe na influence ndani ya Kagera. Poa Geita litabaki limkoa la kubwa jinga tu. nao utaendelee kulishwa uji wa chumvi huku Geita ikiitegemea Chato kwa kila kitu. Hapa tayaro Chato itakua ndiyo the heart kwa upande ule. Kitakachofuata ni historia kuandikwa.
 
Kwani katika Historia yako uliyoisoma / kuhadithiwa au katika Kumbukumbu zako zote hata zile ulizosimuliwa tu na Babu au Bibi yako ulishawahi kusikia kuna ' Shujaa ' yoyote katokea Usukumani? Tuanzie hapo Kwanza Mkuu. Naturally Wasukuma ni waoga sana ila Ubabe wao hupenda sana kufanyia Mifugo yao na pale wanapokuwa wanakula Ugali wao Saa Nne ( 4 ) asubuhi.
Mzee, nimecheeeeka sana
 
Nikiangalia uwanja alojenga Mobutu kule kijijini kwao,ninaambiwa ilitua Concorde pale,hope Chato itatua A380.Kule paliitwa Mobutu African Versailles.Gbadolite hata njiwa hatui pale kwa sasa.Chato napo patakuwa hivyo hivyo.
Hii ni control tower ya uwanja wa Mobutu kama inavyoonekana leo.
9d5f02a2-ede1-4780-a3ed-4caab3e01c40-2060x1297.jpeg
 
Halafu huwa napenda kweli ' Kutishiwa ' kwasababu hata Mimi mwenyewe pia ni Mtu wa ' matukio ' vile vile halafu ni ' Mafia ' niliyetukuka hivyo narudia tena kusema kwamba Wewe ni ' Bwege Nazi ' na ' Guluguja '. Kazi Kwako!
wewe Kisebengo futa kauli yako mapema, nakutahadharisha tu.
 
Hakika Paskal ungekua umeandika risala na inasomwa mbele ya mmiliki naapa usingekua na simu japo ya mkonga.
 
..hata mtoe justification za kijinga namna gani hamna lojiki ya kujenga uwanja wa ndege chato wakati geita yenyewe kwenye angalau madini hamna kiwanja kikubwa....i mean chato kuna kivutio ganiiii!!!

...leo hii hawa watu wa ccm wanaofagilia ufujaji huu wa hela za mlipa kodi wameshindwa kumuenzi baba wa Taifa kwa hata kuwa wanatembelea butiama ije iwe chato akiondoka JPM!!!

...kina jk wamejenga msoga....nani anapakumbuka leo???


...kina mkapa wamejenga huko soni tanga mahekalu nani anapakumbuka leo???

...JPM akiondoka madarakani ndio na chato patasahaulika....sasa kuwa na uwanja huo kwa gharama kubwa za walipa kodi kuna justification gani ya maana???
 
leo angalau kalamu haijayumba kama siku zote japo uko wazi sana kwa akili kubwa. nimelazimika kumkumbuka mwl. emiliana magala (kiswahili dept. ihungo sekondari).

kukuweka sawa kwa kumbukumbu:
eneo ulikojengwa uwanja halikufanyiwa land reclamation, walivuka barabara, upande wa kulia (kama waenda buzirayombo) kabla ya shule ya msingi Nyabirezi
 
Waandishi wa aina hii mkowachache sana bro, na mbaya zaidi waelewa wa uandishi huu ndio kabisaaa, nadhani hata kwenye uchangiaji wetu unaweza kuona...
I LOVE THIS COUNTRY
 
Kuandika kwako kiujanja huchoki? Leo umechemka yaani umeonyesha huna hata fikra za kufikiria nje ya box... hata kufanya karisechi huwezi fikiria..unambeza tu..

Yaani na wewe ni kuwashwa washwa. nilitegemea utaongelea hata juu ya wananchi wa maeneo ya huko.. na jinsi watakavyofaidika katika mengi.. kuliko sasa wanavyotumia masaa mengi kufikia uwanja wa ndege wa karibu.

Leo umechemka na wewe umekuwa mdaku mwenye wivu ulivyombeza Mkulu tena.

Pole yako kumbe hauna maujuzi kabisa zaidi ya udaku.. ngoja nikuchekeeee ha ha haaaaa

Tatizo la lako ni kwamba, paskal kaandika kile ambacho hukutaka kukisikia ama kukisoma. Lakini kumbuka kwamba na wewe unaweza kuandika kwa kufanya research kama ambavyo unataka Paskal aandike.
 
heri ungejengwa wa geita au mwanza kuliko chato. kilichofanyika chato ni zaidi ya upendeleo. mbaya zaidi wabunge wanatetea..
 
Haa haa! wahenge walisema, na nidhani bado wapo sahihi kuwa, fumbo mfumbie mjinga, mwerevu atang'amua. Nimekupata kwa uzuri sana.
 
Mayala nimekupata vizuri kabisa ndo maana hukuteuliwa kuwa msemaji wa rais mkuu maana ukitolea sababu zako hapo juu basi kila mji unastahili kujengewa uwanja wa kimataifa.
Kwa mfano simiyu haina hata kiwanja cha ndege kabisa lkn ina historia ya kuwa na mji maarufu wa wachawi uitwao GAMBOSHI ambao nafikiri hata watalii pia wanatamani kuja kuona na kuijua gamboshi.
My take!maendeleo ni muhimu kwa kila sehemu na wananchi wote wanahitaji ingekuwa hivyo basi kwa mwalimu nyerere Butiama ingekuwa kama Paris ufaransa.
Mkulu anajitekenya mwenyewe kabisa akitoka madarakani pia chattle kwisha
 
Huyu jamaa mwanzo nilikuaga namdic sanaa yan nilikua namponda lakini nilipoanza kushirikisha ubongo wangu kuna vitu vya msingi vinakua vimejificha kwenye thread zake...

Hakika mayala sio njaa tena ni shibee.... Et kwann isiwe kwa maraisi waliopita ila imekua kwa huyu [emoji23][emoji23][emoji23] et vitu vitakuja tuu vyenyewe
 
Back
Top Bottom