Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!


Please Nirekebishe kwenye hili:

Je inawekana kuwa ni zaidi ya mwaka Sasa tangu mkuu aulizwe swali kwenye jumuiya?
 
Natafuta kiwanja chato nijenge nikaishi na familia yangu kwani ndio sehem salama ya kuishi kwa sasa ASIEKUBALI KWAO NI MTUMWA
 
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?
....msome tena katikati ya mistari utamuelewa!
 
Jingalao,cocochannel, and many other of the same will come and like this irony.
 
Soma vuzirii utamuelewa!!! Only kwa wanaosoma na kutafakari!!! WasalaAmm!!
Huu wangalau ndio uandishi unaoweza kukuacha salama awamu hii. Lakini kitendo cha kufunguka mazima yakikukuta ya Lissu usilie. Bigup Paskali kwa uandishi huu kwani kunguru mwoga .....
 
Nawe unarusha rungu porini?! Hebu tueleze mashujaa wanatokea wapi?! Tukafanye utalii huko [emoji23]
 
Kuna watu wawili huwa siwaelewi kwa haraka wa kwanza mrisho mpoto wa pili pascal wa jf...
Hiyo akili yako ukipata kaposition bungeni utawapondea ccm wakati huo wakiwa wanakupigia makofi unawapondea cdm ...keep it up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…