Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Hata wewe mwenyewe Pascal Mayalla inajuwa intrinsically ni nani alimshambulia Tundu Lissu mwaka 2017
Hakuna Mtanzania asiyejua kuwa Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana. Mimi kwanza nimewabainisha

Kisha nikasema sisi media tunaweza kuwabaini Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Na mwisho nikajitolea
P
 
Hakuna Mtanzania asiyejua kuwa Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana. Mimi kwanza nimewabainisha

Kisha nikasema sisi media tunaweza kuwabaini Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Na mwisho nikajitolea
P
Watu WASIOJULIKANA ilikuwa ni code name tu sawa na kusema 420 KJ. Lakini Mkuu wa WASIOJULIKANA anafahamika alikuwa Makonda
 
Watu WASIOJULIKANA ilikuwa ni code name tu sawa na kusema 420 KJ. Lakini Mkuu wa WASIOJULIKANA anafahamika alikuwa Makonda
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.

P
 
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.

P
Mlokole kama Kibwetere!
 
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.

P
Ila Pascal Mayalla na wewe unaandikaga mawazo yako sa zingine ukiyarudia kuyasoma unajidharau mwenyewe si ndiyo?
 
Ila Pascal Mayalla na wewe unaandikaga mawazo yako sa zingine ukiyarudia kuyasoma unajidharau mwenyewe si ndiyo?
Mkuu Sweet16, mimi humu jf, naandikia watu wa makundi 3, simple mind, ordinary mind, na great mind, sasa inapotokea bandiko ni la great mind, huku wewe ni mwenzangu na mimi, utaishia tuu kuingia chaka.

Hayo mabandiko ambayo unadhani nikiyarudia, najidharau, mfano bandiko hili, endelea kuamini unachoamini, ila kwa wale wanaojua mji wa Ggabolite, wanajua nazungumzia nini na haya niliyo yazungumza humu, yametokea!.
P
 
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.

P
US government.
Mkuu wa mkoa Dar. Ananyima wenzake haki ya kuishi. Mwaisho wa kunukuu
 
Vipi Mayala, tunaendeleza uchawa kwa mama? Maana mwendazake hadi amekufa hakutukumbuka kabisa na tulijitahidi kuimba mapambio kwa nguvu zote
Mkuu Islam005, kwanza mimi sijawahi kuwa chawa, kwenye mazuri nasifu na kupongeza lakini kwenye mabaya nakosoa. Chawa kazí yao ni moja tuu kusifu ili wapate something. Kwa vile humu jf, tunajuana ki jf,jf, hivyo mtu akisifu tuu, mnamdhania ni chawa anatafuta uteuzi!. Kwa wale wanaonijua kiukweli ukweli who is the real Pascal Mayalla, wanajua kabisa Pasco Mayalla hatafuti uteuzi wowote, hivyo Mama akifanya mazuri, tunamsifu, na anapokosea tunamkosoa kama kawaida yetu jf, kumkoma nyani giladi. Mama ameanza vizuri tumemsifu kwa mengi, ila wakosoaji objective kama mimi, pia tunamkosoa kama hapa..
Mtu anayetafuta uteuzi, kazi yake itakuwa ni kusifu tuu.
P
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Just hahaha

Ogoa technology Sasa tunashuhudia ujinga wako uliotuandikia
 
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.

P
Kwa vile ni msukuma mwenzio ndiyo unamtetea kuwa ni mlokole? Shukuru tu hukuwa target yake hadi baba yake Magufuli anapata umauti.
 
Only fulls cannot see benefit in any thing.
Lakini welevu, chato ni bonge la faida.
Fulls thinks kuharibu haribu .
Welcome
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Just hahaha

Ogoa technology Sasa tunashuhudia ujinga wako uliotuandikia
Mkuu lunatoc , unapojiita jina linalosound kama lunatic, anajikuta unakuwa lunatic, kama hujaweza kubaini bandiko hili linazungumzia unaita ujinga, unaweza kukuta mjinga ni alisoma na kushindwa kuelewa.
p
 
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.

P
Siku zake Msukuma mwenzio zinahesabika.
Zama za wanyang’anyi na wauaji wa Wakisukuma lazima zikome ndani ya ardhi ya Tanzania
 
US ni kubwa la mabeberu, walimkasirikia kwasababu aligomea ushoga jiji la Makonda.
P
Una hakika Makonda aliuchukia ushoga? Tupate jibu hapo tuu, hayo ya US tuachane nayo kwanza maana wao walisema ana zuia wengine haki ya kuishi na mimi sidhani kama kumzuia shoga kupata shededee ni kumyima haki ya kuishi.
 
Back
Top Bottom