Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #381
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Mtanzania asiyejua kuwa Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana. Mimi kwanza nimewabainishaHata wewe mwenyewe Pascal Mayalla inajuwa intrinsically ni nani alimshambulia Tundu Lissu mwaka 2017
Watu WASIOJULIKANA ilikuwa ni code name tu sawa na kusema 420 KJ. Lakini Mkuu wa WASIOJULIKANA anafahamika alikuwa MakondaHakuna Mtanzania asiyejua kuwa Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana. Mimi kwanza nimewabainisha
Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...www.jamiiforums.com
Kisha nikasema sisi media tunaweza kuwabaini Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Na mwisho nikajitolea
PWanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Wanabodi Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo miongoni mwetu sisi wana JF, pale inapotokea serikali yetu imeshindwa jambo fulani, kwa wale wenzetu wenye uwezo, jee tuwajibike kuisaidia serikali yetu au kusubiri mpaka ishindwe, halafu kazi yatu iwe ni kuikosoa tuu, kuibeza na kuizomea kuwa...www.jamiiforums.com
Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.Watu WASIOJULIKANA ilikuwa ni code name tu sawa na kusema 420 KJ. Lakini Mkuu wa WASIOJULIKANA anafahamika alikuwa Makonda
Mlokole kama Kibwetere!Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
P
Ila Pascal Mayalla na wewe unaandikaga mawazo yako sa zingine ukiyarudia kuyasoma unajidharau mwenyewe si ndiyo?Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
P
Mkuu Sweet16, mimi humu jf, naandikia watu wa makundi 3, simple mind, ordinary mind, na great mind, sasa inapotokea bandiko ni la great mind, huku wewe ni mwenzangu na mimi, utaishia tuu kuingia chaka.Ila Pascal Mayalla na wewe unaandikaga mawazo yako sa zingine ukiyarudia kuyasoma unajidharau mwenyewe si ndiyo?
US government.Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
P
Mkuu Islam005, kwanza mimi sijawahi kuwa chawa, kwenye mazuri nasifu na kupongeza lakini kwenye mabaya nakosoa. Chawa kazà yao ni moja tuu kusifu ili wapate something. Kwa vile humu jf, tunajuana ki jf,jf, hivyo mtu akisifu tuu, mnamdhania ni chawa anatafuta uteuzi!. Kwa wale wanaonijua kiukweli ukweli who is the real Pascal Mayalla, wanajua kabisa Pasco Mayalla hatafuti uteuzi wowote, hivyo Mama akifanya mazuri, tunamsifu, na anapokosea tunamkosoa kama kawaida yetu jf, kumkoma nyani giladi. Mama ameanza vizuri tumemsifu kwa mengi, ila wakosoaji objective kama mimi, pia tunamkosoa kama hapa..Vipi Mayala, tunaendeleza uchawa kwa mama? Maana mwendazake hadi amekufa hakutukumbuka kabisa na tulijitahidi kuimba mapambio kwa nguvu zote
US ni kubwa la mabeberu, walimkasirikia kwasababu aligomea ushoga jiji la Makonda.US government.
Mkuu wa mkoa Dar. Ananyima wenzake haki ya kuishi. Mwaisho wa kunukuu
Kwa vile ni msukuma mwenzio ndiyo unamtetea kuwa ni mlokole? Shukuru tu hukuwa target yake hadi baba yake Magufuli anapata umauti.Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
P
Makonda anagomeaje ushoga wakati yeye mwenyewe ni shoga?US ni kubwa la mabeberu, walimkasirikia kwasababu aligomea ushoga jiji la Makonda.
P
Mkuu lunatoc , unapojiita jina linalosound kama lunatic, anajikuta unakuwa lunatic, kama hujaweza kubaini bandiko hili linazungumzia unaita ujinga, unaweza kukuta mjinga ni alisoma na kushindwa kuelewa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Just hahaha
Ogoa technology Sasa tunashuhudia ujinga wako uliotuandikia
Siku zake Msukuma mwenzio zinahesabika.Mnajichumia dhambi bure kwa kusingizia watu mambo ambayo huna ushahidi nayo.
Jamaa ni mlokole ila pia ni mbarikiwa.
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
P
Utasubiri sana!.Siku zake Msukuma mwenzio zinahesabika.
Zama za wanyang’anyi na wauaji wa Wakisukuma lazima zikome ndani ya ardhi ya Tanzania
Una hakika Makonda aliuchukia ushoga? Tupate jibu hapo tuu, hayo ya US tuachane nayo kwanza maana wao walisema ana zuia wengine haki ya kuishi na mimi sidhani kama kumzuia shoga kupata shededee ni kumyima haki ya kuishi.US ni kubwa la mabeberu, walimkasirikia kwasababu aligomea ushoga jiji la Makonda.
P