Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hata kama CHADEMA wanaitaka Katiba mpya ili waweze kushiriki uchaguzi wenye ushindani halali bado katiba mpya ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.
Katiba ya sasa ina mapungufu mengi sana. Kwanza swala la elimu halikuzingatiwa kabisa katika kuwapata viongozi mbalimbali.
Dunia ya sasa inaongozwa na sayansi na teknolojia. Huwezi kushindana katika ulimwengu unaotumia sayansi na teknolojia bila kutumia watu walioelimika kwa kukaa darasani. Hata kama watanzania wengi waliopata elimu hawaleti matokeo mazuri kwenye taifa hilo limetokana na kuwatumia viongozi wasio na elimu kwenye Taifa letu.
Wakati wa mabadiriko ndio huu hakuna wakati mwingine tutakaoweza kupata katiba mpya zaidi ya wakati huu.
Watanzania tuunganeni katika swala la katiba mpya ni muhimu sana. Taifa letu linapata maendeleo ya ndani tu lakini haliwezi kushindana, na mataifa mengine.
Katika hili lazima tuwe na utayali taifa ni letu sote. Bila katiba mpya mambo mazuri hayawezi kuja kiurahisi.
Katiba ya sasa ina mapungufu mengi sana. Kwanza swala la elimu halikuzingatiwa kabisa katika kuwapata viongozi mbalimbali.
Dunia ya sasa inaongozwa na sayansi na teknolojia. Huwezi kushindana katika ulimwengu unaotumia sayansi na teknolojia bila kutumia watu walioelimika kwa kukaa darasani. Hata kama watanzania wengi waliopata elimu hawaleti matokeo mazuri kwenye taifa hilo limetokana na kuwatumia viongozi wasio na elimu kwenye Taifa letu.
Wakati wa mabadiriko ndio huu hakuna wakati mwingine tutakaoweza kupata katiba mpya zaidi ya wakati huu.
Watanzania tuunganeni katika swala la katiba mpya ni muhimu sana. Taifa letu linapata maendeleo ya ndani tu lakini haliwezi kushindana, na mataifa mengine.
Katika hili lazima tuwe na utayali taifa ni letu sote. Bila katiba mpya mambo mazuri hayawezi kuja kiurahisi.