3. Taasisi kuwa na maamuzi na utendaji kulingana na uwezo kielimu, uzoefu, weledi nk
Kwasasa watendaji na taaluma zao wooote wanaangalia mtukufu rais anataka nini, bila kujali wao wamesomea na wanaujuzi kwasababu ya taaluma zao kuliko rais wanaacha nakuimba mapambio ya kusifu na kumtukuza mheshimiwa rais..... matokeo yake tunakwama
Katiba mpya ituondowe kwenye jinamizi la kumfanya rais mtendaji wa mambo nakufanya vyote na chochote hatakama katiba inakataza..... mhimili wenye mizizi mirefu unaathili tija na ufanisi wa mingine
Kwasasa watendaji na taaluma zao wooote wanaangalia mtukufu rais anataka nini, bila kujali wao wamesomea na wanaujuzi kwasababu ya taaluma zao kuliko rais wanaacha nakuimba mapambio ya kusifu na kumtukuza mheshimiwa rais..... matokeo yake tunakwama
Katiba mpya ituondowe kwenye jinamizi la kumfanya rais mtendaji wa mambo nakufanya vyote na chochote hatakama katiba inakataza..... mhimili wenye mizizi mirefu unaathili tija na ufanisi wa mingine