Naungana na CHADEMA kwenye suala la kuitafuta Katiba Mpya, wakati wa Katiba Mpya ni sasa

Naungana na CHADEMA kwenye suala la kuitafuta Katiba Mpya, wakati wa Katiba Mpya ni sasa

3. Taasisi kuwa na maamuzi na utendaji kulingana na uwezo kielimu, uzoefu, weledi nk
Kwasasa watendaji na taaluma zao wooote wanaangalia mtukufu rais anataka nini, bila kujali wao wamesomea na wanaujuzi kwasababu ya taaluma zao kuliko rais wanaacha nakuimba mapambio ya kusifu na kumtukuza mheshimiwa rais..... matokeo yake tunakwama

Katiba mpya ituondowe kwenye jinamizi la kumfanya rais mtendaji wa mambo nakufanya vyote na chochote hatakama katiba inakataza..... mhimili wenye mizizi mirefu unaathili tija na ufanisi wa mingine
 
4. Bungeni kuwe kivyake

5. Judiciary iwe kivyake

Tunahitaji separation of power kwa vitendo na tuone kwa macho na akili zetu kwamba instruments are trustworthy independent

Wasaalam
 
Mzururaji na kibaraka wa wazungu asitubabaishe, watanzania tunataka maendeleo na tunaona yakifanyika, wanafuta unafuu wa kupata uongozi kupitia uchochoro wa katiba mpya wakati iliyopo haina shida imetumika miaka mingi na ilikuwa ikifanyiwa marekebisha mbalimbali ili kuendane na mabadiliko mbalimbali, semeni ni kipengele gani kwenye katiba hakipo sawa kifanyiwe marekebisho.

Kwa bahati mbaya ww na wajinga wenzako wa ccm mnaona kama katiba mpya ni nyaraka ya uchaguzi, matokeo yake ndio huu ujinga wote mnaongea. Wakati katiba hii inapatikana mwaka 1977 maendeleo yalikuwa hayafanyiki ndio ikatungwa? Au mnaaogopa mazingira mazuri yatakayoletwa na hiyo katiba mpya, hayatawapa nafasi nyie wajinga kuendelea kuburuza wananchi? Labda utuambie bila kuacha shaka, ni kwa jinsi gani katiba mpya itasimamisha hayo maendeleo.
 
Mzururaji na kibaraka wa wazungu asitubabaishe, watanzania tunataka maendeleo na tunaona yakifanyika, wanafuta unafuu wa kupata uongozi kupitia uchochoro wa katiba mpya wakati iliyopo haina shida imetumika miaka mingi na ilikuwa ikifanyiwa marekebisha mbalimbali ili kuendane na mabadiliko mbalimbali, semeni ni kipengele gani kwenye katiba hakipo sawa kifanyiwe marekebisho.
Nyumbu wa saccos wanahangaika Sana.
 
Naunga mkono pendekezo lako, lakini chombo cha kuchambua na kutengeneza Katiba mpya kiwe na Wajumbe 64 pekee. 18 watoke Vyama vya Siasa, 14 Majaji na Wanasheria, 12 makundi ya kidini, 8 Serikalini, 6 Taasisi za Elimu na 6 Sekta binafsi.
 
Hata kama CHADEMA wanaitaka Katiba mpya ili waweze kushiriki uchaguzi wenye ushindani halali bado katiba mpya ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.

Katiba ya sasa ina mapungufu mengi sana. Kwanza swala la elimu halikuzingatiwa kabisa katika kuwapata viongozi mbalimbali.

Dunia ya sasa inaongozwa na sayansi na teknolojia. Huwezi kushindana katika ulimwengu unaotumia sayansi na teknolojia bila kutumia watu walioelimika kwa kukaa darasani. Hata kama watanzania wengi waliopata elimu hawaleti matokeo mazuri kwenye taifa hilo limetokana na kuwatumia viongozi wasio na elimu kwenye taifa letu.

Wakati wa mabadiriko ndio huu hakuna wakati mwingine tutakaoweza kupata katiba mpya zaidi ya wakati huu.

Watanzania tuunganeni katika swala la katiba mpya ni muhimu sana. Taifa letu linapata maendeleo ya ndani tu lakini haliwezi kushindana, na mataifa mengine.

Katika hili lazima tuwe na utayali taifa ni letu sote. Bila katiba mpya mambo mazuri hayawezi kuja kiurahisi.

inamaaana huu ndo utakua mwisho wa viongozi za chadema maaana weng hawajagusa shule
 
Kuna vyeo vingine vinahitaji ujue kusoma na kuandika tu inatosha...
 
Back
Top Bottom