Naungana na wasioamini uwepo wa Mungu

Naungana na wasioamini uwepo wa Mungu

NIMESIKITIKA na KUUMIA kwa ajili ya mtoa maada. Pamoja na kwamba siendi kanisani wala msikitini na wala sio muumini wa dini yeyote ile. Ila Naamini kuwa Mungu yupo. Na uwepo wake una athari wa moja kwa moja katika maisha yetu.

Sikulaumu sana hata mimi kuna kipindi cha ujana nilishawishika kuwaza hivyo lakini pia nilikuwa najiuliza maswali mengi kumhusu Mungu, asili yake, jinsi ulimwengu ulivyoumbwa na chanzo chake, je Mungu ni mmoja au ni muunganiko wa miungu miungu mingi inayojenga taasisi moja ya Umungu, je sisi wanadamu tuliumbwaje kwa material gani, kama inavyosemwa katika biblia kuwa hapo mwanzo lakini kabla ya mwanzo kilikuwa na nini, je kuna viumbe wengine kama sisi.

Maswali ni mengi sana mengine nimepata majibu ila mengi sana bado.

Ukihusianisha miendenendo mibovu ya viongozi wa dini unaweza kushawishika kuwa hakuna Mungu kwa kuwaza kuwa kama kuna Mungu kwanini asiwaadhibu hao watu.

Pamoja na vyote hivyo Mzee nakushauri sana amini kwamba Mungu yupo na kama mimi na wengine tulivyoumia kuhusu hii makala yako basi hata yeye anaumia hata zaidi because you do not acknowledge him despite all the evidence.

Omba msamaha kwa Mungu naye atakusamehe.

Mimi nilikuwa mkristo na bado kuna mambo nayaamini katika ukristo ila ni ukweli kwamba biblia imeficha mambo mengi sana ambayo tulitakiwa kuyajua kuhusu Mungu na ulimwengu.

Huwa Naamini kuhusu neno "Mtaujua ukweli nao ukweli utawaweka huru" lakini pia "wingi wa maarifa huleta huzuni." Ni sahihi kuwa na maswali na kuchunguza ila usiende mbali zaidi na kusema hakuna Mungu. Unakosea sana.

Kuna mchangiaji mmoja alishwahi kusema kuwa Wanadamu ni matokeo ya biological Engineering iliyofanyika katika gallaxy ya Alpha Centauri. Yale mawazo yake yalinifikirisha sana na kuona nadharia ile unaweza kuwa na ukweli ndani yake.

Mungu yupo Ndugu. Hata kama huamini kuwa Mungu basi amini kuwa ni form fulani ya Supreme Power running the whole universe.
 
Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
View attachment 3132230
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.

Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!

Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?

Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭

Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!

{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}

Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭

Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?

Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.

Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!

Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!

View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭

Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!

Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!

Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
View attachment 3133326
MKUU MUNGU YUPO ILA DINI ACHANA NAZO UTAKUJA NISHUKURU
 
Uzuri Mungu ameweka maisha ya binadamu siyo mengi ni kati ya 60, 70 au 80 utajua bada ya kufa kama Mungu yupo au hayupo
Mungu asiyeonekana wakati uko hai ati usubiri mpaka ufe huyo hayupo. Kwenye biblia kumejaa simulizi nyingi za Mungu kujionyesha kwa wanadamu kwa namna mbalimbali. Sasa miungu iko mingi tu na mingi ni ya kufikirika tu ndio hiyo mtu anaiamini haoni matokeo yoyote. Yapo hata makanisa yanahubiri miungu ambayo si Mungu halisi. Yaani kama wale manabii wa mungu Baali na siku hizi kuna manabii na mitume wanaohubiri miungu isiyo Mungu. Ndio utawasikia usiku kucha wakipiga makelele mpaka na kwenye redio. The same scenario kama wale manabii wa Baali!
 
Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
View attachment 3132230
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.

Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!

Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?

Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭

Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!

{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}

Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭

Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?

Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.

Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!

Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!

View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭

Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!

Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!

Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
View attachment 3133326
Umekosea KIDOGO sana NAMNA ulivyoanza sentensi yako.

Ulitakiwa uanze hivi: NAUNGANA NA WAJINGA.......

HAWA WATU PAMOJA NA wewe ni WAJINGA kwa sababu hawajui
 
Umekosea KIDOGO sana NAMNA ulivyoanza sentensi yako.

Ulitakiwa uanze hivi: NAUNGANA NA WAJINGA.......

HAWA WATU PAMOJA NA wewe ni WAJINGA kwa sababu hawajui
Sawa mjanja unae amini kitu hukioni...!
 
K
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...
Kwanini unajiita X_INTELLIGENCE? Heri ungejiita hata Masalakulangwa

Huna tofauti yoyote na wanaojiita Michael au John.

Tuliza komwe
 
Back
Top Bottom