Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kumjua...kabisa kwasababu hayupo na hatokuwepoUnamjuwa au humpendi kwa kufikiri kikondoo tu?
Hapo sasa utakuwa hujitendei haki, ulijiumba mwenyewe au umejikuta duniani tu kwa bahati mbaya?Sitaki kumjua...kabisa kwasababu hayupo na hatokuwepo
Nguvu za kuumba Kila mtu anazo...even you...Mimi nimeumbwa na baba na mamaHapo sasa utakuwa hujitendei haki, ulijiumba mwenyewe au umejikuta duniani tu kwa bahati mbaya?
MKUU MUNGU YUPO ILA DINI ACHANA NAZO UTAKUJA NISHUKURUNdugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
View attachment 3132230
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.
Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!
Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?
Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭
Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!
{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}
Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭
Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?
Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.
Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!
View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭
Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!
Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!
Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
View attachment 3133326
Mungu asiyeonekana wakati uko hai ati usubiri mpaka ufe huyo hayupo. Kwenye biblia kumejaa simulizi nyingi za Mungu kujionyesha kwa wanadamu kwa namna mbalimbali. Sasa miungu iko mingi tu na mingi ni ya kufikirika tu ndio hiyo mtu anaiamini haoni matokeo yoyote. Yapo hata makanisa yanahubiri miungu ambayo si Mungu halisi. Yaani kama wale manabii wa mungu Baali na siku hizi kuna manabii na mitume wanaohubiri miungu isiyo Mungu. Ndio utawasikia usiku kucha wakipiga makelele mpaka na kwenye redio. The same scenario kama wale manabii wa Baali!Uzuri Mungu ameweka maisha ya binadamu siyo mengi ni kati ya 60, 70 au 80 utajua bada ya kufa kama Mungu yupo au hayupo
Umekosea KIDOGO sana NAMNA ulivyoanza sentensi yako.Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
View attachment 3132230
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.
Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!
Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?
Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭
Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!
{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}
Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭
Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?
Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.
Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!
View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭
Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!
Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!
Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
View attachment 3133326
Sawa mjanja unae amini kitu hukioni...!Umekosea KIDOGO sana NAMNA ulivyoanza sentensi yako.
Ulitakiwa uanze hivi: NAUNGANA NA WAJINGA.......
HAWA WATU PAMOJA NA wewe ni WAJINGA kwa sababu hawajui
Sijawahi KUFIKA ULAYA WALA kuiona ULAYA ikoje LAKINI NAJUA KUWA ULAYA ipo; wewe je?Sawa mjanja unae amini kitu hukioni...!
Kwanini unajiita X_INTELLIGENCE? Heri ungejiita hata MasalakulangwaLeo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...